HUDUMA ZA KILIMO ZINAZOTOLEWA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO
Halmashauri ya Wilaya ya Longido kupitia Idara ya Kilimo inatoa huduma mbalimbali kwa wakulima na wadau wa sekta ya kilimo kwa lengo la kuongeza uzalishaji, tija, usalama wa chakula na kukuza kipato cha wananchi. Huduma hizo ni pamoja na:
1. Ushauri wa Kitaalamu kwa Wakulima
2. Ugani na Ufuatiliaji wa Shughuli za Kilimo
3. Uendelezaji wa Teknolojia za Kisasa za Kilimo
4. Huduma za Mbegu na Pembejeo
5. Usimamizi wa Magonjwa na Wadudu Waharibifu
6. Uendelezaji wa Kilimo Himilivu
7. Uwezeshaji wa Masoko ya Mazao
8. Mikopo na Uwezeshaji wa Fedha kwa Wakulima
9. Ushirikiano na Taasisi Mbalimbali za Utafiti na Maendeleo
https://www.youtube.com/watch?v=6g3ZVOM_9t8&list=RD6g3ZVOM_9t8&start_radio=1
Arusha- Namanga Road, Longido Town
Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha
Telephone: 027-2539603
Mobile: 0756395889
Email: ded@longidodc.go.tz
Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.