• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Huduma zetu-MIFUGO

HUDUMA ZA MIFUGO ZINAZOTOLEWA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO

Halmashauri ya Wilaya ya Longido kupitia Idara ya Mifugo inatoa huduma mbalimbali kwa wafugaji kwa lengo la kuboresha afya ya mifugo, kuongeza uzalishaji wa mifugo na bidhaa zake, pamoja na kuongeza kipato kwa wananchi. Huduma hizo ni pamoja na:

1. Huduma za Chanjo na Tiba

  • Kutoa chanjo dhidi ya magonjwa hatari kama vile Kimeta, Homa ya Mapafu ya Ng’ombe (CBPP), Chambavu, na Kichaa cha Mbwa.
  • Tiba ya magonjwa ya kawaida kwa kutumia madawa ya mifugo.
  • Kutoa huduma za ufuatiliaji wa milipuko ya magonjwa ya mifugo.

2. Huduma za Ugani

  • Ushauri wa kitaalamu kwa wafugaji kuhusu mbinu bora za ufugaji.
  • Mafunzo ya ufugaji bora kwa vikundi vya wafugaji na wananchi kwa ujumla.
  • Kutoa elimu juu ya lishe bora ya mifugo.

3. Huduma za Tiba ya Majosho

  • Usimamizi wa majosho ya mifugo yaliyopo vijijini.
  • Upuliziaji wa dawa dhidi ya kupe na kuzuia magonjwa ya ngozi.

4. Huduma za Tiba ya Ndani (Deworming)

  • Kutoa dawa za kuua minyoo ya ndani kwa wanyama.

5. Huduma za Uhimilishaji na Uzalishaji Bora

  • Uhimilishaji wa ng’ombe kwa kutumia mbegu bora (Artificial Insemination - AI).
  • Ushauri juu ya kuchagua madume bora kwa ajili ya uzalishaji.

 

6. Huduma za Uboreshaji wa Mazingira ya Mifugo

  • Kusaidia ujenzi wa malambo na mabwawa ya kunyweshea mifugo.
  • Ukarabati wa malisho ya mifugo na kusimamia maeneo ya malisho.

7. Huduma za Usajili wa Machinjio

  • Kusimamia usafi wa machinjio na kukagua mifugo kabla ya kuchinjwa.
  • Ukaguzi wa nyama kwa ajili ya usalama wa walaji.

8. Huduma za Masoko ya Mifugo

  • Kuratibu na kusimamia minada ya mifugo.
  • Kusaidia wafugaji kupata taarifa za bei na mahitaji ya soko la mifugo.

9. Udhibiti wa Magonjwa ya Mlipuko

  • Kufanya doria na vikao vya ujirani mwema na Wataalam wa upande wa Jamhuri ya Kenya,
  • Uanzishwaji wa vizuizi (quarantine) inapohitajika.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 08, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA ( LINARUDIWA ) October 10, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA October 19, 2024
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA LONGIDO AWATAKIA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA KILA LAHERI KWENYE MITIHANI YAO

    September 09, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • RC ARUSHA ATOA WITO WA AMANI NA UTULIVU LONGIDO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    September 04, 2025
  • View All

Video

PWC YATOA MSAADA KWA MASHIRIKA MADOGO LONGIDO KUKABILI MABADILIKO YA TABIA NCHI
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.