1.UTANGULIZI
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido ni idara muhimu inayowajibika kwa kusambaza taarifa kwa umma, vyombo vya habari, na wadau mbalimbali kwa wakati, kwa usahihi, na kwa ufanisi. Kitengo hiki kinakusudia kutekeleza mkakati wa mawasiliano wa miaka mitano ili kuongeza uwazi, uwajibikaji, na ushiriki wa wananchi katika shughuli za Halmashauri.
2.DIRA YA KITENGO
Kuwa kitengo cha mawasiliano chenye weledi, chenye ufanisi, na chenye ushawishi kinachowezesha ushiriki wa wananchi na wadau katika maendeleo ya wilaya ifikapo mwaka 2030.
3. MALENGO MAKUU YA KITENGO
4. MALENGO MAALUM YA KITENGO
5. MIKAKATI MIKUU YA KITENGO
6. MIKAKATI YA MSINGI
7. UTEKELEZAJI NA UFUATILIAJI WA KITENGO
8. WATUMISHI WA KITENGO
Arusha- Namanga Road, Longido Town
Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha
Telephone: 027-2539603
Mobile: 0756395889
Email: ded@longidodc.go.tz
Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.