• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Michezo, Utamaduni na Sanaa

1. UTANGULIZI

Kitengo cha Michezo, Sanaa na Utamaduni ni miongoni mwa vitengo muhimu ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Longido, chenye dhamana ya kusimamia na kuratibu shughuli zote zinazohusiana na maendeleo ya michezo, ukuzaji wa sanaa, pamoja na uhifadhi wa mila na tamaduni za jamii za eneo hili.
Kitengo hiki hufanya kazi kwa kushirikiana na shule, vikundi vya kijamii, asasi za kiraia na wadau mbalimbali kwa lengo la kuibua na kukuza vipaji, kuimarisha mshikamano wa kijamii, na kulinda utambulisho wa kiutamaduni wa wananchi wa Longido.

2. DIRA YA KITENGO

Kuhamasisha na kuwezesha jamii ya Longido kushiriki kikamilifu katika shughuli za michezo, sanaa na utamaduni ili kukuza vipaji, kuimarisha afya, mshikamano wa jamii, na kudumisha urithi wa kitamaduni.

3. MAJUKUMU YA KITENGO

  • Kuratibu na kuendeleza shughuli za michezo katika shule na jamii.
  • Kusaidia kuanzisha na kuimarisha vikundi vya sanaa na utamaduni.
  • Kuandaa na kuratibu shughuli za michezo ya wanafunzi wa shule ya msingi (UMITASHUMTA)shule za sekondari (UMISSETA) na watumishi walio chini ya mamlaka za serikali za mitaa (SHIMISEMITA).
  • Kuratibu maadhimisho ya kitaifa na kimkoa yanayohusiana na michezo na utamaduni.
  • Kuhamasisha jamii kushiriki katika shughuli za michezo kwa lengo la kuimarisha afya na mshikamano.
  • Kutoa elimu kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mila, desturi na tamaduni za jamii.
  • Kushirikiana na wadau mbalimbali katika kuibua, kukuza na kuendeleza vipaji vya watoto na vijana.
  • Kutoa vibali kwa shughuli za michezo, sanaa na burudani ndani ya Halmashauri.
  • Kuratibu usajili wa vikundi vya sanaa, vyama vya michezo, vilabu na kumbi za burudani au maonesho ya sanaa.

4. MALENGO YA KITENGO KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

  • Kuwezesha na kuratibu mashindano ya michezo katika ngazi ya shule, kata na wilaya.
  • Kuhifadhi, kutunza na kutangaza urithi wa kitamaduni wa jamii ya wafugaji na makabila ya Longido.
  • Kuimarisha ushiriki wa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika shughuli za michezo na sanaa.
  • Kuandaa programu za kuibua na kukuza vipaji vya vijana wa Longido kupitia michezo na sanaa.
  • Kuweka mazingira wezeshi na rafiki kwa maendeleo ya vipaji katika michezo na sanaa.
  • Kuwezesha ushirikiano kati ya Halmashauri na wadau binafsi katika kukuza sekta ya michezo, sanaa na utamaduni.

5. WITO KWA WANANCHI NA WADAU

Halmashauri ya Wilaya ya Longido inawakaribisha wananchi, taasisi na wadau wote kushirikiana kwa dhati katika kukuza vipaji vya michezo na sanaa, na pia kuhifadhi mila na tamaduni zetu kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho. Ushirikiano wenu ni msingi wa maendeleo endelevu ya jamii yetu.

6. WATUMISHI WA KITENGO CHA MICHEZO, SANAA NA UTAMADUNI

  • Naghenjwa M. Bananga – Kaimu Mkuu wa Sehemu ya Michezo, Sanaa na Utamaduni
  • Jesca Bosco Rwezaula – Afisa Maendeleo ya Michezo

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 08, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA ( LINARUDIWA ) October 10, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA October 19, 2024
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA LONGIDO AWATAKIA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA KILA LAHERI KWENYE MITIHANI YAO

    September 09, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • RC ARUSHA ATOA WITO WA AMANI NA UTULIVU LONGIDO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    September 04, 2025
  • View All

Video

PWC YATOA MSAADA KWA MASHIRIKA MADOGO LONGIDO KUKABILI MABADILIKO YA TABIA NCHI
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.