• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Huduma zetu-ELIMU

HUDUMA ZA ELIMU MSINGI NA SEKONDARI ZINAZOTOLEWA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO

Halmashauri ya Wilaya ya Longido kupitia Idara ya Elimu Msingi na Idara ya Elimu Sekondari inatekeleza jukumu muhimu la kutoa huduma bora za elimu kwa watoto na vijana wa Wilaya. Huduma hizi zinalenga kuinua kiwango cha elimu, kuongeza ufaulu, na kuhakikisha fursa sawa kwa wote. Zifuatazo ni huduma zinazotolewa:

A. HUDUMA ZA ELIMU MSINGI

  1. Usajili wa Wanafunzi wa Darasa la Awali na la Kwanza

    • Kuandikisha watoto kuanzia miaka 4 kwa elimu ya awali na miaka 6 kwa darasa la kwanza kila mwaka.

  2. Uendeshaji wa Shule za Msingi

    • Kusimamia shule za msingi za serikali na binafsi zenye kutoa elimu kuanzia darasa la awali hadi la saba.

  3. Utoaji wa Elimu Bila Malipo

    • Serikali inatoa ruzuku ya elimu bila ada kwa wanafunzi wote wa shule za msingi (capitation grant).

  4. Ujenzi na Uboreshaji wa Miundombinu

    • Kujenga madarasa, matundu ya vyoo, nyumba za walimu, na mabweni ili kuboresha mazingira ya kujifunzia.

  5. Utoaji wa Chakula Mashuleni

    • Shule nyingi za msingi zinahamasishwa kuandaa na kutoa chakula ili kuboresha mahudhurio na ufaulu.

  6. Utoaji wa Elimu Maalum

    • Kutoa huduma za elimu kwa watoto wenye mahitaji maalum kwa kushirikiana na wadau mbalimbali.

  7. Usambazaji wa Vitabu na Vifaa vya Kujifunzia

    • Kupokea na kusambaza vitabu kutoka serikalini kwa kila mwanafunzi kwa somo husika.

  8. Ufuatiliaji na Tathmini ya Ufaulu

    • Kufanya ufuatiliaji wa maendeleo ya kitaaluma na nidhamu ya wanafunzi na walimu.

  9. Maendeleo ya Walimu

    • Kutoa mafunzo kazini, warsha na semina mbalimbali kwa walimu ili kuongeza ufanisi.

B. HUDUMA ZA ELIMU SEKONDARI

  1. Usajili wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza

    • Kuandikisha wanafunzi wanaofaulu mtihani wa darasa la saba kujiunga na kidato cha kwanza.

  2. Uendeshaji wa Shule za Sekondari

    • Kusimamia shule za sekondari za kutwa na bweni, za serikali na binafsi.

  3. Elimu Bila Malipo kwa Kidato cha I-IV

    • Kutoa elimu bure kwa wanafunzi wa shule za sekondari kupitia ruzuku ya serikali.

  4. Ujenzi wa Miundombinu ya Elimu

    • Kujenga madarasa, maabara, maktaba, mabweni na nyumba za walimu.

  5. Utoaji wa Elimu kwa Wanafunzi Wenye Mahitaji Maalum

    • Kuhakikisha shule zinakuwa jumuishi na zinawawezesha wanafunzi wote kupata elimu bila ubaguzi.

  6. Mafunzo Endelevu kwa Walimu wa Sekondari

    • Kuendeleza uwezo wa walimu kupitia mafunzo kazini na warsha.

  7. Usambazaji wa Vitabu vya Kiada na Zana za Maabara

    • Kusambaza vitabu vya mtaala mpya na vifaa vya kufundishia hasa kwa masomo ya sayansi.

  8. Ufuatiliaji wa Taaluma na Nidhamu

    • Kufanya ziara shuleni kwa ajili ya ufuatiliaji wa ufaulu na mwenendo wa wanafunzi na walimu.

  9. Elimu ya Kujitegemea na Mafunzo ya Ufundi

    • Kutoa elimu inayowaandaa wanafunzi kwa stadi za maisha kupitia masomo ya kilimo, biashara, na ufundi.

  10. Ushirikiano na Wadau

  • Kufanya kazi kwa karibu na wazazi, jamii na mashirika yasiyo ya kiserikali ili kuboresha elimu.

Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeendelea kujitahidi kuboresha elimu kwa kuhakikisha watoto wote wanapata haki yao ya msingi ya kujifunza katika mazingira salama na rafiki kwa mtoto.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 08, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA ( LINARUDIWA ) October 10, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA October 19, 2024
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA LONGIDO AWATAKIA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA KILA LAHERI KWENYE MITIHANI YAO

    September 09, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • HUDUMA ZA UPASUAJI ZAANZA RASMI KITUO CHA AFYA EWORENDEKE - LONGIDO

    September 06, 2025
  • RC ARUSHA ATOA WITO WA AMANI NA UTULIVU LONGIDO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

    September 04, 2025
  • View All

Video

PWC YATOA MSAADA KWA MASHIRIKA MADOGO LONGIDO KUKABILI MABADILIKO YA TABIA NCHI
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.