IDARA YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
LENGO KUU
Kuratibu na kuweka mazingira rafiki kwa maendeleo ya viwanda, biashara, masoko, na uwekezaji ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Longido.
MAJUKUMU YA IDARA
Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji inatekeleza majukumu yafuatayo:
MUUNDO WA IDARA
Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji inaongozwa na Mkuu wa Idara na inajumuisha sehemu mbili kuu:
1. SEHEMU YA MAENDELEO YA VIWANDA NA UWEKEZAJI
Sehemu hii inahusika na shughuli zifuatazo:
Sehemu hii inaongozwa na Afisa Mfawidhi.
2. SEHEMU YA BIASHARA NA MASOKO
Sehemu hii inatekeleza majukumu yafuatayo:
Sehemu hii pia inaongozwa na Afisa Mfawidhi.
WATUMISHI WA IDARA YA VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI
1. Rajabu Mmunda
2. Ray Elimuu
3. Paulo Parmet
4. Saleh Mondoma
Arusha- Namanga Road, Longido Town
Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha
Telephone: 027-2539603
Mobile: 0756395889
Email: ded@longidodc.go.tz
Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.