• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI LATOA ZAWADI YA KIWANJA KWA MWANAFUNZI CYNTHIA MASUKE ALIYESHINDA TUZO YA UANDISHI WA INSHA KWA NCHI ZA SADC.

Posted on: September 5th, 2019

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Longido  leo tarehe 05/09/2019 limempongeza  na kumzawadia mwanafunzi  Cynthia Masuke toka shule ya sekondari Longido aliyeshinda  tuzo ya uandishi wa Insha kwa nchi za SADC na kushika namba moja.

Mh.Mwenyekiti wa Halmashauri, Mh.Sabore Molloiment akimpongeza mwanafunzi huyo wakati wa kikao cha baraza kwa robo ya nne  April mpaka Juni 2019  amesema  wao kama baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Longido wanampongeza sana mwanafunzi Cynthia na   wanampatia  zawadi Tsh.500,000,/-  ikiwa pamoja na kumpatia kiwanja katika kijiji chochote kati ya Oltepes,Orbomba au Ranchi  ambapo mwanafunzi Cynthia  atachagua.

Nae Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mh.Esupati Ngulupa  na Baraza la madiwani na wakuu wa idara na vitengo wamempongeza mwanafunzi Cythia na wamefurahi sana kwa kuiinua Longido  na wamemkabidhi pesa taslimu za madfari kiasi cha shilingi  Tsh.400,000/=.  .

Nae kaimu afisa elimu sekondari Mwalimu  Asha Kivaju amempongeza mwanafunzi huyo  kwa kuweza kuwa mshindi wa kwanza katika mashindano ya kuandika insha ya Afrika mashariki na kati pia amewapongeza walimu akiwemo mwalimu aliyemwongoza katika uandishi huo,

Pia Mwalimu kivaju amewashukuru madiwani na hasa Mwenyekiti wa Halmashauri kwa kupendekeza mwanafunzi huyu aletwe kwenye baraza kwa ajili ya kupongezwa  vile vile mwalimu kivaju  amemtia  moyo asome kwa bidii ili aendelee kuitangaza Longido  ukizingatia ni mwanafunzi wa kidato cha sita  lakini pia awahimize wenzake kuwa na uthubutu wa kuingia katika mashindano kwani yanakuja kila mwaka.

Mwanafunzi Cythia Masuke aliyeongozana na Mwalimu  wake Mkuu mwl. Godfrey Temu ,Mwalimu wa somo la kiingereza Mwl.Lecho Mahenge na wanafunzi wenzie amewashukuru madiwani wote na kuahidi kufanya vizuri kwenye mitihani yake ya kidato cha sita lakini pia ametoa ombi kwa madiwani waendelee kuwatia moyo wanafunzi wengine watakao fanya vizuri kama yeye.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.