• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LAWASILISHA TAARIFA ZA KATA KWA ROBO YA NNE

Posted on: May 2nd, 2019

Wajumbe wa Baraza la madiwani  wa halmashauri ya Longido wamefanya  mkutano wa kuwasilisha taarifa za kata za robo ya nne za kuanzia mwezi Aprili mpaka Julai 2019, Mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo ( Ukumbi wa Nyerere).

Mkutano huo umehudhuriwa na madiwani,Wakuu wa idara na vitengo na wadau mbalimbali kutoka halmashauri ya wilaya ya Longido.

Taarifa hizo  ziliwazilishwa katika nyanja mbalimbali za elimu, maji,afya,kilimo,mifugo na  uvuvi maendeleo ya jamii na miundombinu.

 Pia madiwani hao waliweza kuwasilisha  taarifa hizo wakiwa wameeleza mafanikio  na changamoto wanazokumbana nazo katika nyanja za elimu, kilimo, ufugaji,  utekelezaji  wa miradi ya maendeleo , utunzaji wa mazingira ,kiuchumi, afya pamoja na miundombinu hasa katika kata ya Namanga .

Hata hivyo baadhi ya changamoto zilizo bainishwa ni  pamoja na utoro, upungufu wa madarasa ,nyumba  za watumishi, mabweni, maabara, uhaba wa malisho, usafiri ,miundo mbinu za barabara, maji safi na salama, madawati,vitendea kazi kwenye ofisi za umma.

Vilevile mwakilishi wa Mkuu wa wilaya ambaye ni afisa Ndug. Taboa Nguvila  kwa niaba ya mkuu  wilaya amesema tayali serikali imekwisha tenga bajeti ya Billion 1.5 kwaajili ya ujenzi wa Chuo cha veta, na pia wako katika mchakato wa kupata maeneo ya ujenzi wa Gereza ndani ya wilaya ya Longido Miradi ambayo itasaidia kwa uakaribu kusogeza huduma za kimaendeleo kami Maji, umeme, miundombinu mizuri n.k, lakini pia kusogeza hudumakaribu za mafunzo ya Veta.

Mwenyekiti wa kikao  wakati anafunga mkutano wa baraza alisema anaomba halmashauri kufanyia kazi changamoto zilizowasilishwa na waheshimiwa madiwani wakati wanawasilisha taarifa zao na kuwasihi watumishi wote kuendelea kuziunga mkono jitihada za serikali ili washirikiane kuibadilisha Longido kwa maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.