• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC LONGIDO AZINDUA ZOEZI LA UMEZESHWAJI DAWA KINGA TIBA KWA WATOTO WENYE UMRI KUANZIA MIAKA MITANO HADI KUMI NA NNE WILAYANI LONGIDO

Posted on: February 29th, 2024

Akizindua zoezi Mheshimiwa Ng'umbi ameitaka jamii kuto kupuuza kwa baadhi ya  magonjwa na badala yake kuwa makini na magonjwa yote yanayoambukiza na yasio ambukiza.

Zoezi hili la umezeshwaji wa dawa za magonjwa ya Minyoo ya tumbo na kichocho linataraji kuwafikia watoto wasiopungua elfu 35,609 wa Wilaya ya Longido Kuanzia miaka mitano hadi 14. Zoezi linataraji kufanyika katika shule 70 za Wilaya ya Longido na vituo teule 9.

Mheshimiwa Ng'umbi amefungua zoezi hili leo tarehe 29/02 /2024 katika shule ya Msingi Longido ambapo watoto zaidi ya elfu elfu 1, 264 katika shule hiyo wamepatiwa dawa hizo kwa ajili ya Minyoo ya tumbo na Kichocho.

Mheshimiwa Ng'umbi amewataka wawezeshaji wa zoezi hilo la ugawaji wa dawa kuwafikia watoto wote waliopo katika kata zote na vitungoji vyake vilivyopo Wilayani Longido"Niwaombe wawezeshaji na waendashaji wa zoezi hili kuwafikia watoto wote hata wale waliopo majumbani ambao hawajaenda shule ili na wao wapatiwe tiba hii ya kujikinga na magonjwa hayo"Alisema Mheshimiwa Ng'umbi.

Zoezi la umezeshwaji wa dawa hizi za Kinga tiba ni zoezi la siku mbili Ambapo linataraji kufika ukomo tarehe 29/02/2024.

Jamii inaaswa kuhakikisha watoto wote wanapatiwa dawa hizo kwani  hazina madhara yoyote kwa watoto badala yake ni Kinga ya magonjwa hayo ya Minyoo ya tumbo na Kichocho.

Nae Daktari Mathew Majani ameishukuru Serikali ya awamu ya sita kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau Kutoka RTI kwa kuwezesha upatikanaji wa dawa hizo za kinga Tiba.


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.