• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA LONGIDO YATOA MAFUNZO YA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA ,KUPAMBA NA RUSHWA NA MFUMO WA E- BOARD KWA MADIWANI NA WATUMISHI WA UMMA.

Posted on: November 7th, 2024

Na Happiness Nselu


Leo, Tarehe 7 Novemba 2024, katika ukumbi wa J.K. Nyerere, Halmashauri ya Wilaya ya Longido imefanya kikao cha mafunzo kuhusu matumizi ya mfumo wa E-Board kwa watumishi wa halmashauri pamoja na Baraza la Madiwani la Wilaya ya Longido. Mafunzo hayo yamefunguliwa rasmi na Katibu Tawala wa Wilaya, Bi. Rahma Kondo.


Akizungumza wakati wa ufunguzi, Bi. Rahma Kondo alisisitiza umuhimu wa mafunzo hayo kwa watumishi na madiwani wa wilaya, akieleza kuwa matumizi ya teknolojia katika shughuli za uongozi na utawala ni muhimu kwa kuongeza ufanisi, kuboresha uwazi, na kupunguza ucheleweshaji katika maamuzi. Aliongeza kuwa mfumo wa E-Board utasaidia kuharakisha mchakato wa usimamizi wa mikutano na kutoa taarifa kwa wakati unaotakiwa.


Mafunzo hayo yana lengo la kuwajengea uwezo watumishi na madiwani katika matumizi ya mfumo wa kisasa wa kidijitali katika vikao vya Halmashauri na Baraza la Madiwani, ili kuwezesha ushirikiano bora na utoaji wa huduma za utawala kwa ufanisi zaidi.


Nae Mhe.Simon Oitesoi Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido ameupongeza uongozi wa Halmshauri kwa kuona umuhimu wa kutoa mafunzo hayo muhimu kwa Madiwani na kuahidi kusimamia vema utekelezaji wa mfumo huo na kuongeza ufanisi katika mikutano.


Viongozi na washiriki wa mafunzo wamesema kuwa hatua hii ni muhimu katika kuhakikisha utendaji kazi wa halmashauri unakuwa bora na unalingana na maendeleo ya teknolojia duniani.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM