• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

HALMASHAURI YAPEWA PONGEZI

Posted on: July 11th, 2019

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo amewataka Mkuu wa wilaya, Mkurugenzi, Madiwani pamoja na wakuu wa Idara Wilayani longido kuhakikisha wanaondoa Hoja zisizo za muhimu na za kutatulika kipindi cha mikutano ya Robo ili kupunguza idadi ya Hoja katika vikao vya mwisho.

Ameyasema hayo leo julai 11, 2019 wakati akizungumza katika baraza la Madiwani wa kata zote 18 za Longido pamoja na wakuu wa Idara mbalimbali wa Wilaya hiyo katika mkutano Maalum wa baraza la Madiwani uliofanyika katika ukumbi wa Nyerere wilayani hapo.

Mhe. Gambo amesema kuwa Wilaya ya Longido akijaribu kuilinganisha na Wilaya nyingine mbili alizo anza nazo Longido inaonekana kufanya Vizuri zaidi ila tu mapungufu madogo madogo ambayo yanaweza kuzuilika ndio yanayoikabili Longido lakini pia Longido amesema wameweza kuondoa tofauti zao na kufanya kazi kama ndugu jamba ambalo amelipa pongezi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri Longido Mhe. Sambore Molloimet amemshukuru Mhe. Gambo kwa kuwa natembelea Wilaya hiyo mara kwa mara huku akimsisitiza kutowakatia tama pale wanapokosea ili kuijenga Tanzania kwa pamoja.

Aidha amewasisitiza kuwa katika vipindi vya robo Wilaya waakikishe kuwasilisha baadhi ya hoja kwa jina la Hoja Maalum ili kuondoa wingi wa hoja hizo.

Naye mkurugenzi mtendaji Mhe. Jumaa Mhina amesema wao kama Halmashauri wajenge utamaduni wa kuwa wanakutana mara kwa mara na wakaguzi huku wakiangalia maara ambapo pana utata na kupatafutia ufumbuzi wa haraka.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO September 04, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WILAYA YA LONGIDO WATOA TAMKO JUU YA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI

    October 23, 2025
  • WANAFUNZI 5,188 KUFANYA UPIMAJI WA KITAIFA DARASA LA NNE LONGIDO

    October 21, 2025
  • WWF YADHAMIRIA KUREJESHA MAZINGIRA ASILIA YA LONGIDO

    October 20, 2025
  • MATUKIO KATIKA PICHA SIKU YA PILI YA MAFUNZO YA WWF KWA VIONGOZI WA DINI, VIJIJI NA VIONGOZI WA KIMILA KUHUSU UHIFADHI WA MAZINGIRA LONGIDO

    October 16, 2025
  • View All

Video

KAMATI YA AMANI NA HAKI WILAYANI LONGIDO YATOA TAMKO LA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.