• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

UTAPIAMLO WAPUNGUA KWA ASILIMIA MOJA (1%)LONGIDO

Posted on: May 14th, 2019

Magonjwa ya Utapiamlo yameendelea kupungua kwa asilimia moja (1%) kutoka 1.5% hadi 1.4% katika kipindi cha Januari – Machi hayo yamesemwa leo tarehe 14/05/2019 katika kikao cha  Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Longido wakati wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji kwa robo ya tatu(Januari mpaka Machi) 2019 katika ukumbi wa Halmashauri na kuhudhuliwa na wajumbe wa kamati hiyo.

Tathimini iliyofanyika katika robo hiyo ya tatu inaonesha kiwango cha utapiamlo kimepungua kwa asilimia 1% kutoka 1.5% hadi 1.4% . Kupungua huko kumeambatana na utoaji wa Elimu inayotolewa na kitengo cha Elimu kwa Wazazi na Walezi juu ya umuhimu wa Vitamin A na dawa za minyoo kwa watoto, kuwapeleka cliniki kwa kuzingatia tarehe walizopangiwa kurudi kwa ajili ya kupima maendeleo ya watoto.

Vilevile tathmini iliyofanyika inaonesha kuwa watoa huduma ngazi ya jamii kwa kushirikiana na wahudumu wa Afya kwenye vituo vya kutolea huduma walitoa elimu ya umuhimu wa  mtoto kunyonya maziwa ya mama pekee kwa kipindi cha miezi 6 ya mwanzo na hata pale mtoto atakapokuwa ameanza kupewa vyakula mpaka kipindi cha miaka miwili na zaidi.

Aidha tathmini hiyo ya kupungua kwa magonjwa hayo iliambatana na kamati kutoa vitamin A kwa watoto wapatao 33,704 wenye umri wa miaka 5. Hata hivyo watoto waliopata chanjo ni 32,483 sawa na 103%, licha ya kufanya hivyo kamati ya lishe inategemea kutoa matone ya Vitamini A na dawa za minyoo kwa watoto chini ya miaka 5 kuanzia June 1 hadi June 30, 2019.

Mikakati mbalimbali iliwekwa na kamati hiyo ya kuendelea kutoa elimu ya lishe kwa wanajamii na kuvitembelea vituo vyenye changamoto ya kuwa na idadi kubwa ya watoto wenye utapiamlo lakini pia kuwajengea uwezo watoa huduma ngazi ya jamii juu ya unasihi wa lishe .

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.