• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YAKOSHWA NA UJENZI WA MADARASA TINGA TINGA SEKONDARI.

Posted on: February 27th, 2019

Kamati ya Fedha na Mipango Halmashauri ya Longido leo tarehe 27/02/2019 imehitimisha ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo  kumi na tano (15) kwa robo ya pili ya mwaka wa Fedha 2018/2019  ikiwa ni utaratibu wa kisheria kwa kamati hii kutembelea miradi kwa kila robo.

Kamati imetembelea ujenzi wa madarasa manne  shule ya sekondari Tinga Tinga ,Ujenzi wa madarasa shule ya msingi Tinga Tinga,Ujenzi wa mabweni na madarasa shule ya sekondari Enduimet,Ujenzi wa kituo cha afya Ketumbeine,Ujenzi wa madarasa Sekondari ya Ketumbeine,Ujenzi wa madarasa Sekondari ya Flamingo,Ujenzi wa madarasa Sekondari ya Lekule sekondari,Ujenzi wa madarasa Sekondari ya Namanga,Ujenzi wa hospitali ya Wilaya.Ujenzi,Ujenzi wa madarasa Sekondari ya Namanga,Ujenzi wa madarasa shule ya msingi Orbomba,Mradi wa ujenzi wa nyumba ya mwalimu shule ya msingi Oltepes,Ujenzi wa madarasa Sekondari ya Engarenaibor,Ukamilishaji wa Ujenzi sekondari ya Matale, na ujenzi wa kituo cha Afya Engarenaibor.

Wajumbe wa kamati hiyo wametoa maagizo mbalimbali kwa miradi waliyokagua lakini wameridhishwa zaidi na ujenzi wa madarasa manne ya shule ya sekondari Tinga Tinga ambayo yamejengwa kwa nguvu za wananchi kuanzia msingi mpaka kufikia hatua ya umaliziaji yakiwa na kiwango cha juu na gharama ndogo. 

Nao wananchi wa Tinga Tinga wameiomba serikali iwaangalie kwa jicho la pekee kwani hatua waliyofikia wanaomba washikwe mkono ukizingatia kwa sasa wana miradi mingine wanayotekeleza kwa nguvu za wananchi ikiwa ni mradi wa Zahanati na madarasa ya shule ya msingi yote yanajengwa kwa nguvu za wananchi.

Mh Diwani Naomi Mollel amewapongeza sana wananchi wa Tinga Tinga kwa kazi kubwa waliyoifanya na kuwataka waendelee na moyo huo wa kuchagia miradi ya maendeleo, "Hakika juhudi yenu wanachi wa kata ya  Tinga Tinga  ya kuchangia miradi ya maendeleo ni kubwa sana kuliko kata yoyote katika halmashauri yetu,niwapongeze kwa hilo na sisi kama wajumbe wa kamati ya Fedha tunalibeba hili na kuliwasilisha katika kikao cha kamati ya Fedha kitakochokaa keshokutwa ili tuone namna gani tutawashika mkono ingawa kama Halmashauri tuna miradi mingi kila mahali lakini haiwezekani kwa juhudi zenu hizi tuwaache hivi hivi" alisema Mh.Naomi Mollel.

Nae Mh.  Kenedy Sabore ,Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Longido akizugumza na baadhi ya wanakamati katika shule sekondari Engarenaibor amefurahishwa na mwamko wa wananchi kuchangia maendeleo ya kata zao ambapo kata ya Engarenaibor wamechangia madarasa mawili na ofisi moja na kata ya Mundarara wamechangia madarasa mawili na ofisi moja jumla madarasa manne na ofisi moja ambazo zote zipo hatua ya lenta."Ndugu wanakamati hongereni sana kwa kazi nzuri ya ujenzi wa madarasa katika kata zenu tunatambua umuhimu wa michango yenu katika uharakishwaji wa maendeleo ya kata zenu na wilaya kwa ujumla,ombi langu endeleeni na moyo huo huo wa kujitolea kwa ajili maendeleo ya wilaya yetu,pili kamati ya ujenzi mjitahidi kuwalinganisha mafundi wazoefu na wa bei nafuu ili kuweza kufikia malengo ya gharama iliyopo kwenye makisio ya mhandisi (BOQ)  "alisema Sabore".

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.