• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KATIBU TAWALA MKOA WA ARUSHA DKT.KIHAMIA ATEMBELEA MIRADI YA AFYA NA ELIMU LONGIDO

Posted on: November 17th, 2021

Katibu tawala mkoa wa Arusha Dkt Athumani Kihamia leo tarehe 17-11-2021 amefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya Afya na Elimu iliyopokea fedha za Mpango wa serikali ya Tanzania wa kuinua Uchumi kwa kutumia mkopo wa fedha wa Sh. Trillion 1.3 uliotolewa na shirika la fedha Duniani (IMF) na kukabiliana na ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO 19) ili kuangalia utelezaji wa miradi hiyo wilayani Longido.

Katibu TawalaMkoa wa Arusha Dkt Athumani Kihamia amesema wilaya ya Longido ni moja ya wilayailiyopewa fedha nyingi kwa ajili ya ujenzi wa shule shikizi kutokana naJiografia ya eneo hilo,na kutoa wito kwa wasimamizi wa ujenzi kutofanyaubadhirifu wa fedha hizo.Dkt Kihamia alisema wilaya hiyo imepewa sh billion 1kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa 50 maeneo mbalimbali katika wilaya,fedha hizini za moto msijaribu kuzitumia kinyume na kile kilichoagizwa.


Akizungumzia hali ya miradi inavyotekelezwa ,alisema pamoja na kuwa wilaya hiyoupatikanaji wa Nyenzo(Material) kwa ajili ya ujenzi ni changamoto lakini viongoziwamejitahidi kusimamia tofauti na maeneo mengine ambayo malighafi yanapatikanakwa haraka." Mmejitahidi na mpo kwenye hatua nzuri,lakini haimaanishi kuwammeshamaliza kazi bado,tutarudi kukagua na wataendelea kuja watu kutoka maeneombalimbali kwa ajili ya kukagua miradi hii ikiwemo TAKUKURU"Alisema DktKihamia.


Katika hatua nyingine,aliwahasa wazazi kuwapeleka watoto shule na kuachana nadesturi ya kuwachungisha mifugo,kwani serikali inatambua haki ya elimu kwamtoto ndio maana Rais Samia ametoa fedha za ujenzi wa Madarasa hayo nakuwasogezea huduma karibu watoto wasiendelee kutembea umbali mrefu kufuataelimu.


Jacob Laizer Mkazi wa Kata ya Orbomba Tarafa ya Longido akizungumza kwa niabaya wananchi alitoa shukrani kwa Rais Samia kwa kuleta fedha za miradi ya elimuna kudai kuwa shule nyingi wilayani humo zenye ufaulu duni wa watoto nikutokana na umbali mrefu wa kwenda shule.Alisema,uwepo wa shule hizo karibu najamii kutasaidia kupunguza kwa kuzorota kwa elimu kwa watoto wa jamii yakifugaji,kwani Uvivu wa kutembea zaidi ya kilomita 10_25 kufuata elimuutapungua na watoto watasoma kwa raha." Hata hivyo watoto wetu walipokuawakitembea umbali mrefu kufuata elimu kwenye shule mama za msingi walikuawakikutana na wanyama wakali Hali hiyo pia ilikua ikiwatia hofu na kukata tamaaya kuendelea na masomo na kupeleka utoro sugu wa wanafunzi" alidai Laizer.


Hata hivyo Mkuu wa Wilaya Nurudin Babu katika ziara yake aliwasisitiza jamiihiyo kutumia majengo hayo pindi yatakapo kamilika  kwa kuhakikisha watotowanakwenda shule ili yasibaki Kama Ghofu na nyumba ya wadadu Kama vile Buibui.Aidha aliwataka jamii kujiongeza kwa ajili ya ujenzi wa vyoo katika maeneoyaliyojengwa shule shikizi sambamba na Madarasa hayo ili watoto watakapoanzakusoma wapate huduma ya vyoo na kuepuka kujisaidia maeneo yasiyorasmi Mfanovichakani." Naomba acheni tabia ya kuwakeketa watoto wakike pamoja na ndoaza utotoni" aliomba Babu.


Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Longido Stephen Ulaya alisema pamojana kuwepo kwa changamoto ya upatikanaji wa maji na matofali,lakini wamejipangakukabiliana nalo na ifikapo Desemba 15 Madarasa hayo yatakua yamekamilika.


Ikumbukwe kuwa fedha hizi ni fedha za Mpango wa serikali ya Tanzania wa kuinuaUchumi kwa kutumia mkopo wa fedha wa Sh. Trillion 1.3 uliotolewa na shirika lafedha Duniani (IMF) na kukabiliana na ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO 19).

   

Mafundi ujenzi wakiwa kwenye picha ya pamoja na RAS katika ujenzi wa vyumba vinne shule shikizi Odorko.  

 Ujenzi wa madarasa mawili ya shule sekondari ya Namanga


 Ujenzi wa madarasa mawili ya Sekondari ya Longido

 Ujenzi wa Vyumba viwili vya Madarasa Katika shule ya Sekondari Engarenaibor

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM