• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KIKAO CHA TATHIMINI CHA MKATABA WA LISHE NA WATENDAJI.

Posted on: July 31st, 2023

KIKAO CHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA VIASHIRIA VYA MKATABA WA LISHE KATIKA HALMASHAURI WILAYA YA LONGIDO

Mkuu wa wilaya ya Longido mheshimiwa Marco Henry Ng'umbi leo tarehe 31/07/2023 amefungua kikao cha tathmini ya Lishe kilichofanyika katika ukumbi wa J. k. Nyerere Wilayani Longido.

Akisoma taarifa ya Lishe Afisa lishe  wilaya ndugu Adelina Kahija, taarifa ya hali ya lishe katika Wilaya ilionesha kuwa 90.51%ya watoto chini ya miaka mitano wana hali nzuri ya lishe na 8.77%wana utapiamlo wa wastani, na 0.72%wana utapiamlo mkali.

Hata hivyo Halmashauri ya wilaya ya Longido ilitenga kiasi cha shilingi 41,187,976 kwa ajili ya utekelezaji wa Afua za lishe kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Mheshimiwa Ng'umbi amawataka watendaji wa kata katika Halmashauri kuweka jitihada mahususi za kuhamasisha na kutoa elimu ili kuondoa matatizo na magonjwa yanayosababishwa na ukosefu wa lishe bora haswa kwa watoto walio chini ya miaka mitano. "Lishe bora kwa mtoto huimarisha Afya na kumpa nguvu mtoto ili aweze kutimiza shughuli zake za kila siku, mtoto mwenye Afya nzuri mara zote anakuwa na furaha hata kwa kumuangalia tu anaonekana anapendeza"Alisema Mheshimwa Ng'umbi.

Kikao cha Tathmini ya Lishe kwa watendaji ni vikao endelevu vinavyofanyika kila robo katika mwaka, ili kujua mwenendo mzima wa lishe kwa watoto katika Halmashauri ikiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wanakuwa na Afya njema.


 *Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kazi iendelee*

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM