• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KIKAO KAZI CHA WADAU WA AFYA MKOA WA ARUSHA KIMEENDELEA LONGIDO, MWENYEKITI DK. WEDSON SICHALWE

Posted on: May 9th, 2019

Kikao kazi cha wadau wa sekta ya Afya katika mkoa wa Arusha kimeendelea leo Mei 9, 2019 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Longido kikiongozwa na mwenyekiti ambaye ni Mganga mkuu wa Mkoa wa Arusha Dk. Wedson Sichalwe, huku hoja mbalimbali zikijadiliwa, mbinu tofauti kwa hatua muhimu za kuchukua lengo ni kuweka ulinzi, tahadhari dhidi ya kunusuru vifo vya uzazi na watoto.

 Dk. Sichalwe amezungumzia swala la vifo vya akina mama, uzazi na watoto kuendelea kutokea ni kutokuwepo kwa ushiriki wa karibu baina ya jamii na wataalamu au waganga na wadau wa sekta hiyo, hivyo amedai kuwa kuna kila sababu ya kutafuta utatuzi wa nini chanzo cha vifo wapi pana mapungufu kwa kujadiliana na jamii, wataalamu pamoja na wadau kwa kutoa nafasi za mapendekezo, maoni na ushauri.

Vilevile amewasihi wadau wote wa Afya kutojitenga na jamii kwani kunauhitaji mkubwa wa kuwaelimisha wananchi ili wachukue hatua za haraka kuwahi hospitali pale linapotokea tatizo la kiafya kwa mama, jambo linalowasaidia wataalamu kunusuru maisha ya mama na mtoto kuliko kwenda wamechelewa jambo linalowapa ugumu wahudumu wa Afya.

Dk. Simon Chacha ambaye ni Mganga mkuu wa jiji Arusha amelitolea ufafanuzi swala la vifo hivyo kwa kusema kuwa hatua zimekuwa zinachukuliwa baada hatari na kwa wakati ambao huwezi nusuru maisha kwa asilimia mia .

Aidha amewataka wadau wa Afya kushirikisha taasisi zote za Afya zilizopo Mkoa wa Arusha na kuzipa vipaumbele ili kuwafikia wananchi wote na kutaka iundwe sheria inayowataka na kuwasisitiza akina mama kujifungulia hospitali .

Naye Afisa ustawi wa jamii mkoa wa Arusha Denis Mgiye amewaomba wadau kutowaweka nyuma ofisi za Ustawi wa jamii kwani na wao wanayodhamana ya kufahamu kwa ukaribu matatizo yaliyo kwenye jamii.

Dk. Titus Mmasi DMO wa Monduli amebainisha changamoto zilizopo kuwa ni kushindwa kuwafikia na kuwahusisha katika vikao wananchi wote, kutowahusisha kamati ya ulinzi ya ustawi wa jamii ile hali wana mamlaka ya kutoa taarifa za maendeleo ya jamii pamoja  jamii kutojitokeza kwa wingi katika mikutano.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.