• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KITUO CHA AFYA ENGARENAIBOR KIMEANZA KUTOA HUDUMA YA UPASUAJI

Posted on: June 14th, 2024

 "Timu ya madaktari wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido tumejiandaa na tumejipanga vema kusaidia na kutoa huduma bora kwa wananchi wote wa Wilaya ya Longido zikiwepo huduma za upasuaji".Alisema Daktari D Majani Kaimu Mganga Mkuu Halmashauri ya Wilaya ya Longido.

Halmashauri ya Wilaya ya Longido kupitia idara ya afya, Ustawi wa Jamii na Lishe katika kuboresha huduma ya mama na mtoto pamoja na kusogeza huduma karibu na wananchi.

Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wake Rais Dkt Samia Suluhu imejenga vituo vya Afya vingi kote nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma mahala pa karibu pasipo kutembea umbali mrefu kufuata huduma hizo muhimu za Afya

Sambamba na kutoa vifaa tiba kwa ajili ya kutolea huduma hizo kwa wananchi.

Kwa kuona na kuzingatia hilo kituo cha Afya cha Engarenaibor kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Longido kimeanza kutoa huduma za upasuaji kwenye kituo hicho kwa mara ya kwanza.

Akizungumza kwa niaba ya wananchi na mkazi wa Engarenaibor mama Nanyori Amempongeza Mheshimiwa Rais kwa kuwajengea kituo hicho na kuwapatia Madaktari sambamba na vifaa tiba.

"Sisi wananchi na wakazi wa Engarenaibor tunapenda kutoa shukrani zetu zifike moja kwa moja kwa Mama yetu mama Samia kwa kutupigania sisi wakazi wa Engarenaibor kwa kujenga Kituo cha Afya kizuri." Alisema mama Nanyori

"Tunapenda kuipondeza serikali ya awamu ya sita chini ya Mheshimiwa Rais Dr Samia kwa kuwezesha miundombinu mbinu na vifaa tiba  hatimae huduma ya upasuaji imefanyika katika kituo cha afya Engarenaibor kwa mara ya kwanza tarehe 13/06/2024 hiininapelekea kuwapunguzia akina mama usumbufu wa kusafiri takrbani km 40 kwenda hospital ya wilaya pindi wanapokubwa na changamoto za uzazi". Alisema Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt D Mathew Majani.

Kituo cha Afya Cha Engarenaibor kinatoa huduma zote muhimu za kiafya, pamoja na hata huduma ya mama na mtoto.

Aidha wananchi na wakazi wote wa Engarenaibor na Longido kwa ujumla ni rai ya Serikali kutaka wananchi wote wanaenda kupata huduma ya Afya kwenye vituo vilivyowekwa na Serikali na kuacha kabisa tabia ya kutumia miti shamba na kujifungulia njiani,kwani inahatarisha sana maisha ya wananchi walio wengi hasa wazee, wamama wajawazito pamoja na watoto.

Huduma za Afya kwenye Hospital, vituo vya Afya na Zahanati zilizopo Wilayani Longido ni bora  na zina madaktari wazuri na wenye weredi wa kutoa huduma hizo.


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KAZI IENDELEE

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.