• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Longido Sec wafurahia Msaada wa Sement

Posted on: December 14th, 2017

Katika  harakati za kuimarisha  ulinzi na usalama shule ya sekondari Longido iliyoko wilayani longido mkoani Arusha imepokea mifuko 200 ya simenti kutoka kampuni ya mission  kwa ajili ya ujenzi wa uzio  wa shule jana  tarehe 14, disemba 2017.


Wakati akitoa shukrani zake za dhati mkuu wa shule ndg.Danieli g.Ntemi  ameweza kueleza kuwa wazo hilo lilianza kipindi shule yao kuungua moto hivyo kuanza  shughuli ya ujenzi rasmi mnamo januari 2017 kwa nguvu za wazazi lakini kwa kusuasua kwani ilikuwa ni kama ndoto ambayo wasingeweza kutekeleza.


Ndg.Daniel g.Ntemi ameendelea kufafanua kuwa wazo lao lilipata nguvu rasmi wakati wa mahafali ya kidato cha sita tarehe 8,April2017 baada ya kuahidiwa na mgeni rasmi katika hiyo mahafali mkurungenzi wa kampuni ya mission Bw.Michael Manthakis kwa kuwa ahidi  tani 30  za simenti kwa ajili ya ujenzi  wa uzio.


Pia  ahadi hiyo ilianza kutekelezwa tarehe 12/07/2017 ambapo  tani 10 za simenti kati ya tani 30 zilitolewa kwani kwa kufanya hivyo si kwamba ilishindikana kutolewa tani zote 30 kwa wakati moja bali nikwa angalizo aliyoito bw.michael ya kuwa simenti zinaweza kuisha muda wake hivyo kuletwa kwa awamu tatu ambapo awamu mbili kukamilishwa kwa sasa nakusalia awamu moja tu katika ahadi hiyo.


Vile vile mkuu wa shule ndg.Ntemi ameweza kuwa fafanulia hatu waliyoifikia katika ujenzi huo kuwa  upande wa kusini 440m na 35cm,upande wa mashariki 205cm na kwa upande wa magharibi 99m na 60cm hivyo kusema ujenzi  bado unaendelea vizuri kwa hatua hiyo ya msingi.


Hata hivyo  katibu tarafa ndg.Mtasigwa naye ameweza kutoa shukrani zake kwa kampuni hiyo akieleza moja ya changamoto kubwa ambayo inaikumba shule hiyo ni kutokuwa na uzio  swala ambalo linahatarisha  usalama wa shule kwani mtu yeyote anaweza kuingia kupitia popote na kufanya anavyojiskia kufanya ,huku akiwaasa wanafunzi kuwa kwakufanya hivyo si tu shule ipendeze ni pamoja na matunda mazuri yaonekane kutoka kwenu  kwani kupendeza kwa shule ni pamoja na matokeo mazuri.


Aidha Afisa elimu sekondari  ndg.Gerison Mtera ameipongeza kampuni hiyo kuonesha moyo wa mkubwa kwa kushirikiana na jamii hiyo kufanikisha suala hilo huku akiwataka uongozi wa shule usimamie vizuri zoezi hilo la ujenzi kwani  msaada unapotolewa bila kuufanyia kazi ni bure pia ni kumkatisha tamaa aliyejitoa kufanikisha kazi hiyo nakuwa sisitiza  pia kuwa fuatilia waliowaahidi  bila kutekeleza ahadi zao  kwa kukamilisha mapungufu ya shule hiyo .


Hivyo basi uongozi wote wa shule ,wanafunzi,na viongozi kutoka ngazi ya halmashauri ya wilaya Longido wametoa shukrani zao za dhati kwa kampuni ya mission  ya bw .michael  Manthakis  kwa kutekeleza ahadi yake kwa muda bila kusukumwa wala kulazimixhwa kwani amekuwa mfano kati ya wadau wote waliowahi kutoa ahadi  kwa kuitekeleza ipasavyo.


Vile vile wamemtaka mwakilishi wa meneja huyo ndg.Damasi Rumangisa  kumshika mkono meneja atakaporejea kuwa ni ishara ya shukrani zote zilizotolewa na Taasisi,bodi ya shule pamoja na wazazi huku wakimsisitza kuwa bado shule yao inauhitaji mkubwa hivyo wasisite kutoa msaada wao watakapohitaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.