• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MADIWANI HALMASHAURI YA LONGIDO WAWASILISHA TAARIFA ZA KATA KWA ROBO YA KWANZA YA MWAKA 2021..

Posted on: November 18th, 2021

Madiwani wa Halmashauri  ya Wilaya ya Longido leo tarehe 18/11/2021 wamewasilisha taarifa za kata zao kwenye Baraza la madiwani lililokaa leo katika ukumbi wa mkutano wa Halmashauri. 

Taarifa hizo za robo  zilijikita kwenye sekta mbalimbali za Elimu, Afya, maji, miundombinu, mapato na matumizi na maendeleo ya jamii. 

Mh. diwani akiwasilisha taarifa ya kata ya Longido. 

Taarifa ya kata ya Namanga ikiwasilishwa. 

Diwani kata ya Elang! atadapash akiwasilisha Taarifa yake. 

Diwani viti maalum akiwasilisha Taarifa ya kata. 

Mh. Diwani kata ya Orbomba akiwasilisha Taarifa ya kata yake. 


Mh. Diwani kata ya Engarenaibor akiwasilisha taarifa ya kata yake iliyojikita kwenye sekta za afya, Elimu, maji, miundombinu, mapato na matumizi na sekta nyingine.

Mh. Diwani kata ya Sinya akiwasilisha Taarifa. 

Mh.  Diwani kata ya Ketumbeine akifafanua jambo. 

Mwenyekiti wa Halmashauri, Mh Simon Oitesoi akisisitiza jambo

Mh. Diwani kata ya Tingatinga   akichangia mijadala. 

Wananchi na Wataalamu wa  Longido wakisikiliza mjadala unaendelea wa baraza la kata. 

Mwenyekiti wa Halmashauri akifunga mkutano huo wa baraza la kata la kuwasilisha taarifa zao za kata kwa robo ya kwanza kwa kuwataka waheshimiwa Madiwani  kwenda kuwahudumia wananchi na kutatua changamoto za kata zao kwa kushirikiana na wataalam. 

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM