• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAFUNZO YA WATAALAMU WA H\W LONGIDO KUHUSU MFUMO WA TAKWIMU PLANREP NA FFARS

Posted on: October 2nd, 2017

            Na Johnson Ismail

Approved By Joseph  Peter Mkumbwa. ICTO

         Ufunguzi wa Mafunzo hayo ya Mfumo wakuandaa Bajeti  wa  PLANRES na FFARS yamefunguliwa rasmi leo kwenye ukumbi wa Mwal J.K Nyerere mafunzo hayo yatakayo chukua siku tano yakiwa na malengo yakuongeza ujuzi/maarifa juu ya mfumo mzima wa takwimu.

       Mafunzo hayo yamejumuisha wakuu wa Idara na Vitengo,Maafisa Bajeti kutoka kwenye Idara na Vitengo pia Wajumbe wa CHMT ambao kwapamoja watajihusisha na utaratibu mzima wa uandaaji wa bajeti kwenye maeneo yao kulingana na shughuli zitakazo fanyika na mfumo mzima wa matumizi kulingana na bajeti zao.

       Hatahivyo mafunzo hayo yamefunguliwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji ambaye ni Afisa utumishi  (W)Longido Ndg.Steven Mbombe kwa kuwataka watumishi hao  kuzingatia mafunzo hayo kwakuwa mpango wa Bajeti ndio dira ya shughuli zitakazo tekelezwa kwa mwaka Mzima.

“Bajeti ni mpango hivyo kushindwa kupanga malengo itapelekea kushindwa kutekeleza malengo,hivyo kila mmoja kwa nafasi yake awe makini kujifunza na kuyaelewa mafunzo hayo”.amesemsa Kaimu Mkurugenzi.

       Hatahivyo Afisa Mipango wa Halimashauri ya Longido Peter Ngusa amesema kuwa Mafunzo haya yana lenga kuwa jengea uwezo Watumishi juu ya mfumo wa PLANRES na FFARS ambao umeboreshwa na mifumo mingine kama Epicor,LGRCIS na mifumo mingine.

          Aidha Afisa Mipango Ngusa amesema kuwa mfumo huu umepunguza gharama kwa kuwa maandalizi yatafanyika kwenye mfumo yaani Online kadhalika na uwakilishaji wake ni tofauti na zamani ilikuwa lazima watu kusafiri kwenda kuwasilisha bajeti, hali ambayo kwa sasa haitakuwepo .

Pia washiriki wa Mafunzo hayo wakuu wa Idara,Vitengo Maafisa Bajeti,wali furahishwa na ufunguzi huo na kusema ni njia nzuri ya kuwafundisha kwani watakua wana tumia mafunzo hayo vizuri katika utendaji wao wa kazi na kuacha kutumia pesa nyingi kwaajili ya kusafiri kuwasilisha Bajeti.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.