• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC NG'UMBI AKABIDHI MRADI WA MBUZI 164 KWA KAYA MASKINI

Posted on: April 20th, 2023

Walengwa 43 wa kaya maskini katika kijiji cha Orbomba leo tarehe 20/04/2023 wamepewa mbuzi takribani 164  aina ya ISIOLO na Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya jamii (TASAF),makabidhiano hayo yamefanyika katika ofisi ya kijiji cha Orbomba.

Akikabidhi mradi huo wa mbuzi aina hiyo ya ISIOLO kwa walengwa 43, Mheshimiwa Marko Ng'umbi mkuu wa Wilaya ya Longido amewataka wanakaya kuwatunza mbuzi hao kwa lengo la kuondoa umaskini kwenye kaya. Mbuzi hao wakiwatunzwa vizuri  watawasaidia kuongeza kipato kwani tunafahamu kuna faida nyingi sana kwenye mifugo hii ya mbuzi ikiwepo nyama, Maziwa, na wanapozaliana tutapata mbuzi wengi hapo sasa ndipo mnaweza kuwauza nakujipatia pesa kwa ajili ya chakula, mavazi, makazi bora pamoja na kusaidia kuwapeleka watoto shuleni.

Pamoja na hayo Mheshimiwa mkuu wa wilaya amewaasa wanakaya kutowapeleka sokoni mifugo hiyo hivi karibuni badala yake wawatuze mpaka watakapozaliana ndipo wanaweza kuwapeleka sokoni mana watakuwa wengi,kwa kuwa mradi umelenga kuongeza kipato kwa kaya hizo maskini. sambamba na hilo amewaomba wahakikishe mifugo hiyo inakuwa salama, "Ndugu zangu sitopenda kusikia mbuzi hawa tuliowagawia leo wanakufa au wamepotea ama wamepata madhara yeyote yale  badala yake nitafurahi nikisikia wako vizuri wana afya njema na wameongezeka kwa maana wamezaliana ili tujikwamie kiuchumi, badala ya kula mlo mmoja ama kushinda njaa na kulala njaa kabisa sasa tukiweza kuwatunza tutakula milo mitatu bila shida wala tatizo lolote "Alisema Mheshimiwa Ng'umbi

Nae mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Longido ndugu Stephen Ulaya ameishukuru Serikali  kwa kuwezesha kufanikisha mradi huo kwa kaya Maskini unaotekelezwa na TASAF awamu ya III,vilevile amewasihi sana wanakaya kuwatunza mbuzi hao ili waweze kuwasaidia kiuchumi

Akizungumza kwa niaba ya wanakijiji na wanakaya hao wa kaya maskini mwenyekiti wa kijiji cha Orbomba ndugu Lashilo Alais Ameishukuru wadau wa Mfuko wa Maendeleo ya jamii TASAF pamoja na serikali ya awamu ya Sita chini ya uongozi wa mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali wananchi wake na kuwapatia mbuzi hao kwa lengo la kujikwamua kiuchumi na ameahidi kuwatunza kwa kila hali ili waweze kuwaletea manufaa katika kuongeza uchumi wa kaya.

Pia ameongeza kwa kuiomba Serikali kuwakumbuka zaidi kwani bado kuna kaya nyingi zinahitaji msaada kama huu ili ziweze kujikwamua na wimbi hili la umaskini. "Tunaiomba Serikali iendelee kutufikiria kwani bado kuna wananchi wengu huku kwetu wanauhitaji, hawa ni wachache tu ila bado wako wengi kijijini maisha yao ni changamoto "Alisema ndugu Kashilo Alais.


*JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KAZI IENDELEE*

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.