• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MGAO WA PIKIPIKI KWA WATENDAJI WA KATA LONGIDO

Posted on: March 11th, 2023

Watendaji wa kata kutoka katika kata sita zikiwemo kata ya Noondoto, Ilerienito, Gelai Lumbwa, Gelai Merugoi, kamwanga na Elang'hatadapash wamekabidhiwa pikipiki kutoka serikalini ikiwa na lengo la kurahisisha kazi katika utendaji wao kwa jamii.

Akikabidhi pikipiki hizo Mkurugenzi mtandaji wa Halmashauri ya wilaya ya Longido ndugu Stephen A Ulaya leo tarehe 11 /03 /2023 katika viwanja vya Halmashauri, amewataka watendaji hao kuzitumia pikipiki hizo kwa uzuri na umakini wa hali ya juu na kwa madhumuni ya kazi za Serikali na si vinginevyo, pia amewaomba kuzitunza kwa maslahi mapana ya Halmashauri "Ndugu zangu serikali imetoa pesa nyingi sana kwenye miradi ya maendeleo na imeona ni vema pia kutoa pesa kwa ajili ya kununua pikipiki kwa watendaji wa kata, na sisi Longido tumepewa pikipiki sita tafadhali naomba hizi pikipiki ni zetu naomba tuzitunze" Alisema ndugu Stephen Ulaya. Ameongeza kwa kusema "Ni imani yangu pikipiki hizi zitatumika kwa makusudi yaliyokusudiwa sitarajii mtumie tofauti kila mmoja ana wajibu wa kuitunza" Alisema Ulaya


Pia mkurugenzi ameishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wake mama Samia Suluhu Hassan kwa kutoa msaada wa pikipiki kwa watendaji wa kata hizo na ameahidi kuzitunza kwa maslahi mapana ya wananchi wa Halmashauri ya Longido

Pamoja na kuwa serikali imetoa pikipiki sita kwa ajili ya Halmashauri lakini pia Halmashauri imetenga kiasi cha fedha katika bajeti ya mwaka 2023/24 kwa manunuzi ya pikipiki zingine kumi nane kwa kata zilizobakia ikiwa na lengo la kuzifikia kata zote ndani ndani ya halmashauri kwani kitendea kazi hicho ni muhimu na kitarahisisha mawasiliano kulingana na mazingira yetu ya Longido yanayotuzunguka kuwa magumu na kutofikika kwa urahisi "Tumeanza na Kata za mbali kidogo kama tulivyokubaliana katika kikao chetu cha watendaji na baadae tutaleta kwa kata zilizobaki bila upendeleo" Alisema ndugu Stephano Ulaya

Nae Mtandaji wa kata ya Gelai Merugoi ndugu Lesioni Mollel kwa niaba ya watendaji ameishukuru Serikali kwa kuona ipo sababu ya kuwapatia pikipiki hizo kwani zitawasadia hasa katika kuwahudumia wananchi wa kata zao."Tunaishukuru sana serikali hasa ofisi ya Rais Tamisemi kwa kutujali sisi watendaji kwa kata hususani sisi wa kata za mbali kidogo ambapo hapo awali tulikuwa tukipata tabu sana katika kuwahudumia wananchi ndani ya kata zetu sasa kwetu itakuwa rahisi sana kuwafikia wananchi wote kwa kitendea kazi hiki ndani ya kata zetu nami /Nasi tunaahidi kuzitunza na kufanyia kazi zilizokusudiwa na serikali na sio kinyume na hapo.


*Jamhuri ya muungano wa Tanzania kazi iendelee*

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM