• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mh Esupati Ngulupa aibuka kidedea tena

Posted on: August 28th, 2017

Mheshimiwa Esupati Ngulupa wa chama cha MAPINDUZI  amechaguliwa tena kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido   baada ya kushika nafasi hiyo kwa mwaka mmoja


Mh. Esupati Ngulupa ametetea kiti chake baada ya kupata kura 14 kati ya kura 23 zilizopigwa na kumshinda mpinzani wake Mhe. Naomi Mollel diwani  viti maalum wa Chama Cha demokrasia na Maendeleo( CHADEMA ) aliyepata kura 9


Uchaguzi huo umefanyika wakati wa Mkutano Maalumu  wa Baraza la Madiwani na kufanya uchaguzi wa Makamu mwenyekiti  wa baraza hilo ambapo kisheria huchaguliwa kila baada ya mwaka mmoja.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Longido  ndugu Jumaa Mhina amemtangaza Mh. Esupati Ngulupa ambaye ni Diwani viti maalum kuwa Makamu Mwenyekiti kwa kipindi cha mwaka mmoja baada ya kupata kura 14 na kumshinda Mhe. Naomi Mollel aliyepata kura 9 kati ya kura 23 zilizopigwa.


"Kwa mamlaka niliyopewa ninamtangaza mheshimiwa Esupati Ngulupa  kuwa Makamu Mwenyekiti aliyepata kura 14 na kumshinda mheshimiwa Naomi Mollel aliyepata kura 9 kati ya kura 23 zilizopigwa na wajumbe wa baraza la Madiwani". Amesema Mhina.


Aidha Mh.Esupati Ngulupa amewashukuru wajumbe kwa kumpa kura zilizotosha kumpa nafasi  ya Makamu Mwenyekiti wa baraza na kuahidi kufanya kazi na kila mmoja.


Kwa mujibu wa Sheria na Kanuni  za serikali za mitaa uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti wa baraza la Madiwani hufanyika kila baada ya mwaka mmoja na kufanya nafasi hiyo kugombewa kila baada ya muda huo kumalizika.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.