• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MHE. LUHAGA MPINA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI KIWANDA CHA NYAMA NA BWAWA LA KUNYWESHEA NG'OMBE LONGIDO

Posted on: May 11th, 2019

Waziri wa mifugo na uvuvi mhe. Luhaga Mpina amefanya ziara wilayani Longido Mkoani Arusha kukagua bwawa la kunyweshea ng'ombe pamoja na kiwanda cha nyama kiitwachwo elliya food overseas ltd.

Mhe . Mpina akiwa kwenye kiwanda hicho ameipongeza halmashauri ya Longido kwa kuamua kirekebisha majosho tisa na kuwa ahidi kurekebisha majosho mengine 8 yaliyo baki.

Sambamba na hayo mhe mpina ameuhakikishia uongozi wa kiwanda hicho kuwa serikali ya awamu ya ya tano inayo ongozwa na Dkt Magufuli kupitia wiazara yake umeanza kusimamia sheria na kuhakikisha kwamba nchi ya Tanzania haiwezia kugeuzwa kuwa dampo kwa ukiukwaji wa sheria za uingizwaji wa mazao ya mifugo itokayo nje ya nchi.

Kwa upande wake mmoja wa wa kutugenzi wa kiwanda hicho Bw Shabir Virji amesema kiwanda hicho kinatarajiwa kuanza uzalishaji mwezi wa 10 mwaka huu na kwa sasa wako katika hatua za ufungaji wa mashine katika kiwanda hicho.

Naye mmoja kati ya wafugaji katika wilaya ya Longido Bw Olekiande Sadala ameishukuru serikali ya awamu ya tano pamoja na mbunge wa jimbo hilo kwa kuweza kuwaletea kiwanda hicho wilayani humo na kusema sababu kubwa ya utoroshwaji wa mifugo kwenda nchi jirani ni ukosefu wa soko, kiwanda hicho kitaondoa tatizo la utoroshwaji wa mifugo walayani hapo.

Kiwanda hicho cha nyama kitawekewa jiwe la msingi na mbio za mwenge wa uhuru na kuzinduliwa rasmi mwezi wa 10 mwaka huu na kinatarajiwa kutoa ajira kwa watu takribani 200 na kwa siku kitakuwa na uwezo wa kuchinja Ng'ombe 500 pamoja na mbuzi 2000 kwa hatua za awali.

IMETOLEWA NA IDARA YA MAWASILIANO OFISI YA MKUU WA WILAYA YA LONGIDO

TAREHE 11-MAY-2019

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.