• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI AFANYA KIKAO NA WATUMISHI WOTE WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO

Posted on: October 10th, 2019

Leo tarehe 10-10-2019 mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Longido Ndugu Jumaa Mhina amefanya kikao cha pamoja na watumishi wote wa halmashauri katika ukumbi wa Mwl.Julius Nyerere.

Kwenye kikao hicho kilichoanza saa 9.00 asubuhi katika ukumbi wa halmashauri Mkurugenzi mtendaji aliwakaribisha watumishi wote wapya na wazamani na kuanza kutoa taarifa zote za kiutendaji ikiwemo elimu,michezo,afya na miradi iliyofanyika kabda na baada ya yeye kuteuliwa kuwa mkurugenzi.

Katika sekta ya elimu na mchezo Mkurugenzi alisema kuwa wilaya yetu kwa sasa imepiga hatua kubwa sana. Inafanya vizuri katika mitihani yote ya wilaya na kitaifa pia imetoa mshindi wa kwanza kitaifa katika uandishi wa insha nchi za SADC pia kuweza kuzipandisha shule ambazo zilikuwa zinafanya vibaya kitaifa.katika michezo inayoshirikisha wanafunzi waliopo mashuleni kitaifa inafanya vizuri.

Katika sekta ya afya wilaya imeweza kusimamia ujenzi wa vituo vya afya ikiwemo Eworendeke na Engarenaibor vilivyogharimu takribani bilioni moja na milioni moja kwa pamoja pia kuendelea kusimamia ujenzi wa hospitali ya wilaya wenye gharamaa ya takribani bilioni moja na milioni mia tano.Pia mkurugenzi alisema Kama wilaya tumepata baharia ya kuwa na zahanati ya kisasa iliyoko Olmoti yenye vifaa vya kisasa kabisa ilijengwa na mfadhiri kwa ajili ya kuwasaidia wananchi walikuwa wanasafiri umbali mrefu kwenda kufuata huduma ya afya.

Pia mkurugenzi alitoa tathmini ya miradi mikakati takribani kumi (10) ikiwemo soko la mazao na mifugo,bwawa la kitalii lenye mita 2000,kiwanda cha nyama,mradi wa nyuki,bwawa la samaki, stendi ya kisasa,ambayo ikikamilika itaingiza kiasi cha shilingi bilioni mia moja (100) kwa mwaka. 

Kwenye kikao hicho alipata nafasi ya kusikiliza na kutolea ufafanuzi wa maswali na kero mbalimbali wanazozipata watumishi wakiwa katika utendaji wao wa kazi wa kila siku. 

Mwisho kabisa mkurugenzi aliwahasa watumishi wote kufanya kazi kwa bidii na maarifa kwa kufuata taratibu na sheria zote za kiutumishi bila kuwepo sababu na visingizio vya namna yoyote kwani ikibainika mtumishi amefanya uzembe basi atachukuliwa hatua stahiki za kiutumishi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM