• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI MTENDAJI AUKARIBISHA MWAKA KWA KUONGEA NA WATUMISHI WA HALMASHAURI

Posted on: January 2nd, 2018

MKURUGENZI MTENDAJI  AUKARIBISHA MWAKA 2018 KWA KUONGEA NA WATUMISHI WA HALMASHAURI.


Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Longido,Ndg.Jumaa Mhina Leo tarehe 02/01/2018  katika ukumbi wa halmashauri ameongea na watumishi wa halmashauri  na kuwapongeza kwa kufanya kazi kwa ushirikiano mkubwa hali iliyopelekea  mapato kuongezeka kulinganisha na miaka mingine , ufaulu wa darasa la saba kuongezeka, usimamizi wa miradi kuwa mkubwa,  na msukumo wa wananchi wanaojiunga na mfuko wa  bima ya afya wa CHF  kuwa mkubwa.


Aidha Mkurugenzi Mhina amemtaka mganga mkuu wa wilaya kuweka mikakati ya kina mama wajawazito kujifungulia katika hospitali.


 Vile vile  Mkurugenzi Mhina   amezungumzia kuhusu uchaguzi na amewataka watumishi wote kuwa na ushirikiano mkubwa katika shughuli za uchaguzi utakaofanyika tarehe 13/01/2018 na kuwaasa kutokuwa washabiki wa  chama chochote cha siasa.


Vile vile watumishi walipata nafasi ya kuzungumza machache, Mwl Mtera  alimshukuru Mkurugenzi  kwa kuona mchango wa watumishi na  kumhakikishia Mkurugenzi kuendelea  kumpa ushirikiano wa hali ya juu ,aidha amewaomba watumishi  kuwa na maadili mazuri katika utendaji wetu.


Mwisho Mkurugenzi alifunga kikao kwa kuwashukuru watumishi wote na kuwataka kufuata  maadili na kutokata tamaa na kikao cha leo kilikuwa cha kupongezana na kutiana moyo na kusema  kikao  kingine cha kusikiliza Kero za watumishi  kitafanyika mapema baada ya uchaguzi na  aliwakaribisha  watumishi wote chakula cha mchana kilichoandaliwa!  





Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM