• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWANI WAIBUA MIKAKATI MIPYA YA KUBORESHA MAISHA YA WANANCHI WA LONGIDO

Posted on: November 11th, 2019

Leo tarehe 11-11-2019 wajumbe wa Baraza la madiwani wa halmashauri ya Longido wamefanya mkutano wa kawaida katika ukumbi wa JK Nyerere ulioko Halmashauri ya wilaya ya Longido. Mkutano huo ulioongozwa na Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Bwana Gerson Mtera  na Mh Simon Oitesoi Diwani kata ya Gelai Lubwa ulikuwa na ajenda mbalimbali ikiwemo kupitia maazimio yote ya mkutano uliopita na utoaji wa taarifa wa utekelezaji wa kata kwa kipindi cha Julai mpaka septemba 2019.

Madiwani hao waliweza kuwasilisha taarifa hizo wakiwa wameeleza mafanikio na changamoto wanazokumbana nazo katika nyanja za elimu, kilimo, ufugaji, utekelezaji wa miradi ya maendeleo , utunzaji wa mazingira ,kiuchumi na afya.

Katika uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji waheshimiwa wajumbe madiwani wa kata walitoa taarifa mbalimbali kutoka katika kata zao ikiwemo utekelezaji wa miradi mipya na inayoendelea, mafanikio , changamoto na njia za jinsi ya kutatua changamoto hizo.

baadhi ya changamoto zilizo bainishwa ni pamoja na utoro wa wanafunzi mashuleni, upungufu wa vyumba vya madarasa ,nyumba za watumishi yaani waalimu,  uhaba wa malisho ya mifugo, usafiri , maji safi na salama katika maeneo yao,madawati na vitendea kazi kwenye ofisi za umma.

Pia baraza la madiwani walimtaka afisa kilimo wilaya Ndugu Edward Kasiga kutoa vibali vya kupewa mahindi katika kata uzingatie uhitaji na sio kiwango kimoja kwa kata zote kwani kuna baadi ya kata hazina uhitaji na mwisho walikubaliana kuwa ugawaji wa mahindi ili kukabiliana na mfumuko wa bei katika kata mbalimbali ufanyike kwa kutegemea uhitaji wa kata husika  kwani kuna baadhi ya kata hazina uhitaji kabisa ya mahindi hayo.

Mkuu wa  wilaya ya Longido Ndugu Frank James  Mwaisumbe alipata nafasi ya kuongea kwa kifupi na alisisitiza baadhi ya mambo muhimu kama ujenzi wa vyumba vya madarasa, uanzishaji wa shule ya kidato cha tano na sita katika shule ya Endument kwa ajili ya kuhamisisha wanafunzi kupata nafasi ya kuchukua masomo ya sayansi. Pia mkuu wa wilaya alisisitiza ugawaji wa mahindi kwa bei nafuu ili kuepukana mfumuko wa bei kwa kuzingati uhitaji.

Mh Simon Oitesoi alifunga kikao saa 7.00 mchana kwa kupata chakula cha pamoja  na wajumbe wote.  

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.