• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUUWA WILAYA YA LONGIDO MH.NURDIN BABU AONGEA NA WENYEVITI WA VIJIJI,VIONGOZI WA DINI, MALAIGWANANI NA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

Posted on: August 16th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya  Longido  Mh Nurdin Babu leo tarehe 16./08/2021 ameongea na viongozi wa dini, Wenyeviti wa Vijiji, Mallaigwanani Watendaji wa vijiji na kata kuhusu mambo mbalimbali ya Maendeleo ya Wilaya yetu, Mh. Babu amewataka viongozi hao kusimamia Miradi mbalimbali ya Maendeleo kwani mitadi Mingi inatekelezwa kule na pesa nyingi serikali Inapeleka ngazi ya vijiji na kata, Lakini pia Mh Nurdin Babu  amewataka viongozi hao kuimarisha ujiirani mwema na  Nchi jirani na kuhamasisha  kulipia ushuru wa Mifugo pindi wananchi wetu  wanapopeleka mifugo yao nchi jirani kuuza

Vile vile Mh. Babu amewataka viongozi hao  kuhamasisha na  ukataji  wa Bima ya Afya ya CHF iliyoboreshwa inayogharimu elfu 30 kwa kaya moja ya watu 6 ambayo itakuwezesha kupata  matibabu kuanzia Zahaniti Mpaka Hospitali ya Mkoa.

Afya ni Muhimu sana kwa maendeleo ya Nchi yetu hivyo mkate  Bima  ya Afya ya CHF ili muwe na uhakika wa' Matibabu pindi  mnapoumwa, amesema Mh. Babu..

Mh.Babu Pia amewaambia viongozi hao wapate chanjo ya uviko 19 na kuhamasisha wananchi wore waliofikisha umri wa miaka 18 kupata chanjo ya uviko 19  kwani ugonjwa huu upo  na unaua sana na  amewahakikishi viongozi hao kuwa chanjo hii  haina madhara yoyote ni chanjo kama chanjo nyingine tulizowahi kuchoma huko nyuma kama za surua, pepopunda, ndui na nyingine nyingi.Pia  chanjo hiii ya uviko  19 itawasaidia pindi wanaposafiri nje ya Nchi. 


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.