• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUUWA WILAYA YA LONGIDO MH.NURDIN BABU AONGEA NA WENYEVITI WA VIJIJI,VIONGOZI WA DINI, MALAIGWANANI NA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI

Posted on: August 16th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya  Longido  Mh Nurdin Babu leo tarehe 16./08/2021 ameongea na viongozi wa dini, Wenyeviti wa Vijiji, Mallaigwanani Watendaji wa vijiji na kata kuhusu mambo mbalimbali ya Maendeleo ya Wilaya yetu, Mh. Babu amewataka viongozi hao kusimamia Miradi mbalimbali ya Maendeleo kwani mitadi Mingi inatekelezwa kule na pesa nyingi serikali Inapeleka ngazi ya vijiji na kata, Lakini pia Mh Nurdin Babu  amewataka viongozi hao kuimarisha ujiirani mwema na  Nchi jirani na kuhamasisha  kulipia ushuru wa Mifugo pindi wananchi wetu  wanapopeleka mifugo yao nchi jirani kuuza

Vile vile Mh. Babu amewataka viongozi hao  kuhamasisha na  ukataji  wa Bima ya Afya ya CHF iliyoboreshwa inayogharimu elfu 30 kwa kaya moja ya watu 6 ambayo itakuwezesha kupata  matibabu kuanzia Zahaniti Mpaka Hospitali ya Mkoa.

Afya ni Muhimu sana kwa maendeleo ya Nchi yetu hivyo mkate  Bima  ya Afya ya CHF ili muwe na uhakika wa' Matibabu pindi  mnapoumwa, amesema Mh. Babu..

Mh.Babu Pia amewaambia viongozi hao wapate chanjo ya uviko 19 na kuhamasisha wananchi wore waliofikisha umri wa miaka 18 kupata chanjo ya uviko 19  kwani ugonjwa huu upo  na unaua sana na  amewahakikishi viongozi hao kuwa chanjo hii  haina madhara yoyote ni chanjo kama chanjo nyingine tulizowahi kuchoma huko nyuma kama za surua, pepopunda, ndui na nyingine nyingi.Pia  chanjo hiii ya uviko  19 itawasaidia pindi wanaposafiri nje ya Nchi. 


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM