• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MRADI WA UBORESHAJI USALAMA WA MILKI ZA ARDHI WAFIKA LONGIDO

Posted on: July 8th, 2023

Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Dr. Angeline Mabula leo tarehe 8 /07/2023 Amefungua mkutano wa wadau kujadili mpango wa matumuzi ya Ardhi ya wilaya ya Longido

Mkutano huu umelenga kujadili namna bora ya kuboresha mifumo ya usimamizi wa taarifa za ardhi nchini.

Vile vile mradi umejikita kuongeza usalama wa milki za Ardhi kwa kupanga,kupima na kumilikisha wananchi ardhi mijini na vijijini.

Akizungumza na viongozi, pamoja na wananchi wa Wilaya ya Longido. Dr Angeline Mabula amewahakikishia wananchi wa Longido kuwa Serikali imejipanga vema katika kuondoa migogoro kwenye kumiliki ardhi, ikumbukwe kuwa eneo la Longido asilimia 91 ni eneo la pori tengefu lakini bado kuna shughuli za kibinadamu zinaendelea na amesisitiza kuwa sio nia ya serikali kuwaondoa kwenye maeneo ya makazi ya watu.

Mheshimiwa waziri ameongeza kwa kusema kwamba wizara imejipanga haswa kuhakikisha mambo yanaenda sawa na yanafanikiwa,

Kuna maeneo yanakuwa kwa kasi kama Engaranaibor, Mundarara, Tingatinga ambayo kwa kipindi cha usoni yanaweza kuwa miji kwa hali ilivyo hayawezi kutangazwa kama hayajapangwa vizuri. "Tumieni fursa ya mradi huu kutatua migogoro ya Ardhi" Alisema Dr. Angeline.

Nae mkuu wa wilaya ya Longido Mheshimiwa Henry Ng'umbi ameipongeza Serikali ya awamu ya Sita chini ya uongozi wake Dr Samia Suluhu Hassan kwa kuona ipo sababu ya kuleta mradi huu katika Wilaya hii ya Longido kwani ni mradi wenye tija kwa wananchi wa Halmashauri.

Pia Mheshimiwa mkuu wa wilaya amewaonya viongozi na mtu yeyote ambae anatoa taarifa zisizo sahihi na zinazopotosha swala zima la  umiliki wa Ardhi kisheria,kwani kwa kufanya hivyo kutaleta taharuki kwa wananchi kitu ambacho Mheshimiwa Rais hatopenda kusikia.

"Sisi kama Longido tunashukuru sana kwa Mradi huu tupo tayari kutekeleza mradi ambao tunaona mwanga wa mafanikio kwenye Halmasahauri yetu hii pendwa"Alisema Mheshimiwa Marco Henry Ng'umbi Mkuu wa wilaya ya Longido.

Wadau mbali mbali wametoa maoni yao juu ya mpango mzima wa Mradi huu wa uboreshaji usalama wa Milki za Ardhi.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KAZI IENDELEE 

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.