• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MRADI WA UBORESHAJI USALAMA WA MILKI ZA ARDHI WAFIKA LONGIDO

Posted on: July 8th, 2023

Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Dr. Angeline Mabula leo tarehe 8 /07/2023 Amefungua mkutano wa wadau kujadili mpango wa matumuzi ya Ardhi ya wilaya ya Longido

Mkutano huu umelenga kujadili namna bora ya kuboresha mifumo ya usimamizi wa taarifa za ardhi nchini.

Vile vile mradi umejikita kuongeza usalama wa milki za Ardhi kwa kupanga,kupima na kumilikisha wananchi ardhi mijini na vijijini.

Akizungumza na viongozi, pamoja na wananchi wa Wilaya ya Longido. Dr Angeline Mabula amewahakikishia wananchi wa Longido kuwa Serikali imejipanga vema katika kuondoa migogoro kwenye kumiliki ardhi, ikumbukwe kuwa eneo la Longido asilimia 91 ni eneo la pori tengefu lakini bado kuna shughuli za kibinadamu zinaendelea na amesisitiza kuwa sio nia ya serikali kuwaondoa kwenye maeneo ya makazi ya watu.

Mheshimiwa waziri ameongeza kwa kusema kwamba wizara imejipanga haswa kuhakikisha mambo yanaenda sawa na yanafanikiwa,

Kuna maeneo yanakuwa kwa kasi kama Engaranaibor, Mundarara, Tingatinga ambayo kwa kipindi cha usoni yanaweza kuwa miji kwa hali ilivyo hayawezi kutangazwa kama hayajapangwa vizuri. "Tumieni fursa ya mradi huu kutatua migogoro ya Ardhi" Alisema Dr. Angeline.

Nae mkuu wa wilaya ya Longido Mheshimiwa Henry Ng'umbi ameipongeza Serikali ya awamu ya Sita chini ya uongozi wake Dr Samia Suluhu Hassan kwa kuona ipo sababu ya kuleta mradi huu katika Wilaya hii ya Longido kwani ni mradi wenye tija kwa wananchi wa Halmashauri.

Pia Mheshimiwa mkuu wa wilaya amewaonya viongozi na mtu yeyote ambae anatoa taarifa zisizo sahihi na zinazopotosha swala zima la  umiliki wa Ardhi kisheria,kwani kwa kufanya hivyo kutaleta taharuki kwa wananchi kitu ambacho Mheshimiwa Rais hatopenda kusikia.

"Sisi kama Longido tunashukuru sana kwa Mradi huu tupo tayari kutekeleza mradi ambao tunaona mwanga wa mafanikio kwenye Halmasahauri yetu hii pendwa"Alisema Mheshimiwa Marco Henry Ng'umbi Mkuu wa wilaya ya Longido.

Wadau mbali mbali wametoa maoni yao juu ya mpango mzima wa Mradi huu wa uboreshaji usalama wa Milki za Ardhi.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KAZI IENDELEE 

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM