• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AIPONGEZA LONGIDO KWA USIMAMIZI MZURI WA FEDHA ZA UVIKO-19.

Posted on: September 15th, 2022
  1. I'mNa Mwandishi Wetu.

Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa ameipongeza halmashauri ya Longido Mkoa wa Arusha Kwa usimamizi mzuri wa fedha za UVIKO 19 walizopatiwa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la wagonjwa mahututi kwenye hospital ya wilaya(ICU).

JENGO LA  ICU -HOSPITALI YA WILAYA

Alisema serikali imejenga majengo Kama hayo 25 nchi nzima kwenye hospital za wilaya na 75 katika vituo vya afya,aidha alieleza kuwa ujenzi wa majengo hayo utasaidia kuokoa maisha ya wannachi kwa kuwa huduma imesogezwa karibu.

Alisema hayo katika ziara ya kikazi alipotembelea  jengo Hilo la ICU Lenye thamani ya Sh.million 250 na kukagua mradi wa maji kimoukwa _Namanga uliogharimu zaidi ya sh.Bilion 6,na kueleza kuwa wananchi wa mji wa Namanga walikua wakiteseka kwa miaka mingi bila maji safi na salama lakini serikali imetambua changamoto hiyo na kuchukua hatua.

TANKI LA MAJI KIMOKOUWA 

"Hapa ni lango la biashara Kati ya Kenya na Tanzania,fanyeni biashara zenu kwa Amani mradi huu ni endelevu na mtanufaika nao zaidi,nimeambiwa hapa maji yanapatikana zaidi ya Lita million 4 ni mengi" alisema Msigwa.

Miradi iliyotembelea ni Mradi wa Maji Tanki la Kimokouwa,Kiwanda Cha nyama Cha Elia food overseas ambacho kinanifaika na mradi huo mkubwa wa maji kutoka siha mkoani Kilimanjaro wenye kilomita zaidi ya 75 ,mradi wa maji Namanga pamoja na ujenzi wa jengo la ICU hospital ya wilaya ya Longido.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM