• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

OPARESHENI YA JENGA CHOO TUMIA CHOO

Posted on: August 22nd, 2019

OPARESHENI YA JENGA CHOO TUMIA CHOO.

Mkuu wa Wilaya ya Longido , Mhe. Frank James Mwaisumbe ametoa agizo kwa maafisa Tarafa na watendaji wa vijiji vyote wilayani Longido kuwa anatoa miezi mitatu(3) tu,wahakikishe kila kaya (boma) ina choo, pamoja na sehemu zenye mikusanyiko ya watu kama vile sokoni, shuleni (msingi na sekondari).

Mh. mwaisumbe ameyasema hayo leo hii tarehe 22.08.2019 akiwa katika kikao cha afya na lishe kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano ofisi ya Mkuu wa Wilaya,Mh mwaisumbe ameongeza kuwa  mtu yeyote atakaye kiuka agizo hili, kwa maana kuwa asijenge choo na kutumia choo atachukuliwa hatua za kisheria. 

Pia Mh. Mkuu wa wilaya amewaagiza maafisa elimu (msingi na sekondari) kuwasimamia   walimu wakuu wa shule na kuwahimiza mazingira kuwa safi na kuhakikisha kuwa wanatumia vyoo vizuri ili kuepuka uchafuzi wa mazingira na kuondokana na magojwa ya kuhara kama vile kipindupindu ndani ya wilaya yetu ya Longido. Amesema kuwa kufikia mwakani Longido haitakiwi kuwa katika namba ya 166 ndani ya wilaya 184 Tanzania kwani kila kitu kinawezekana tukiamua, Mh. Mwaisumbe amewataka maafisa tarafa kutoa taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa vyoo na matumizi yake kila baada ya mwezi mmoja. Pia amewaasa maafisa tarafa kushirikiana na idara ya afya pamoja na maendeleo ya jamii kuwa na ratiba ya kuelimisha jamii juu ya afya na umuhimu wa vyoo katika jamii.

Nae afisa afya mkoa wa Arusha Vones z Uiso ameeleza jinsi gani operesheni hii ya vyoo ilivyo weza kubadilika toka kuanzishwa mwaka 2012 hadi 2015. Amesema kuwa operesheni hii ya awamu ya pili mwaka 2017 hadi 2019 imekuwa na maendeleo mazuri mkoani Arusha hadi kufikia 81% kwa kuwa na vyoo.  Katika kuelezea changamoto ya afya  amesema kuwa mila na desturi potofu zimechangia jamii kutokuwa na vyoo, pia ameeleza uhaba wa maafisa wa afya katika ngazi ya mkoa kwani wana uhitaji wa watu 155 huku maafisa afya jumla wako 102 hivyo kuna changamoto katika kutaka kuwafikia watu wote katika kila kijiji na ndio maana wanaomba kusaidiana na watu wote ili kuwa na afya bora.

Pia Afisa lishe wilaya Adelin kahija ameeleza baadhi ya changamoto katika ngazi ya wilaya kama ukosefu  wa vitendea kazi kwa wataalamu wa lishe, ukosefu wa rasilimali fedha. Amesema kuwa anaunga mkono agizo la Mkuu wa wilaya kuhakikisha kila kaya ina kuwa na choo.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.