• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

OPARESHENI YA JENGA CHOO TUMIA CHOO

Posted on: August 22nd, 2019

OPARESHENI YA JENGA CHOO TUMIA CHOO.

Mkuu wa Wilaya ya Longido , Mhe. Frank James Mwaisumbe ametoa agizo kwa maafisa Tarafa na watendaji wa vijiji vyote wilayani Longido kuwa anatoa miezi mitatu(3) tu,wahakikishe kila kaya (boma) ina choo, pamoja na sehemu zenye mikusanyiko ya watu kama vile sokoni, shuleni (msingi na sekondari).

Mh. mwaisumbe ameyasema hayo leo hii tarehe 22.08.2019 akiwa katika kikao cha afya na lishe kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano ofisi ya Mkuu wa Wilaya,Mh mwaisumbe ameongeza kuwa  mtu yeyote atakaye kiuka agizo hili, kwa maana kuwa asijenge choo na kutumia choo atachukuliwa hatua za kisheria. 

Pia Mh. Mkuu wa wilaya amewaagiza maafisa elimu (msingi na sekondari) kuwasimamia   walimu wakuu wa shule na kuwahimiza mazingira kuwa safi na kuhakikisha kuwa wanatumia vyoo vizuri ili kuepuka uchafuzi wa mazingira na kuondokana na magojwa ya kuhara kama vile kipindupindu ndani ya wilaya yetu ya Longido. Amesema kuwa kufikia mwakani Longido haitakiwi kuwa katika namba ya 166 ndani ya wilaya 184 Tanzania kwani kila kitu kinawezekana tukiamua, Mh. Mwaisumbe amewataka maafisa tarafa kutoa taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa vyoo na matumizi yake kila baada ya mwezi mmoja. Pia amewaasa maafisa tarafa kushirikiana na idara ya afya pamoja na maendeleo ya jamii kuwa na ratiba ya kuelimisha jamii juu ya afya na umuhimu wa vyoo katika jamii.

Nae afisa afya mkoa wa Arusha Vones z Uiso ameeleza jinsi gani operesheni hii ya vyoo ilivyo weza kubadilika toka kuanzishwa mwaka 2012 hadi 2015. Amesema kuwa operesheni hii ya awamu ya pili mwaka 2017 hadi 2019 imekuwa na maendeleo mazuri mkoani Arusha hadi kufikia 81% kwa kuwa na vyoo.  Katika kuelezea changamoto ya afya  amesema kuwa mila na desturi potofu zimechangia jamii kutokuwa na vyoo, pia ameeleza uhaba wa maafisa wa afya katika ngazi ya mkoa kwani wana uhitaji wa watu 155 huku maafisa afya jumla wako 102 hivyo kuna changamoto katika kutaka kuwafikia watu wote katika kila kijiji na ndio maana wanaomba kusaidiana na watu wote ili kuwa na afya bora.

Pia Afisa lishe wilaya Adelin kahija ameeleza baadhi ya changamoto katika ngazi ya wilaya kama ukosefu  wa vitendea kazi kwa wataalamu wa lishe, ukosefu wa rasilimali fedha. Amesema kuwa anaunga mkono agizo la Mkuu wa wilaya kuhakikisha kila kaya ina kuwa na choo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM