• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RAS ARUSHA DKT KIHAMIA AWAFUNDA WATUMISHI WA WILAYA YA LONGIDO.

Posted on: October 7th, 2021

Katibu tawala Mkoa wa Arusha Dkt Athumani Kiamia leo tarehe 07-10-2021 amefanya ziara ya kikazi katika Halmashauri ya Longido na kuongea na  watumishi katika ukumbi wa Halmashauri na  kuwataka watumishi wa Halmashauri ya Longido kufanya kazi kwa kuzingatia Sheria, kanuni na taratibu ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na kupunguza malalamiko yanayojitokeza  katika utekelezaji wa majukumu mbalimbali na kupunguza uonevu kwa watumishi

Alisema hayo alipokuwa akizungumza na watumishi wa Halmashauri hiyo kwa lengo la kukumbushana wajibu wa utendaji kazi na kupokea malalamiko au changamoto zinazowakabili wakati wa utekelezaji wa majukumu yao.

Dkt Kiamia akizungumza Hali ya ukusanyaji wa mapato alisema wilaya hiyo bado Kuna Wigo mdogo wa ukusanyaji wa mapato na usiposimamiwa vizuri miradi ya maendeleo itashindwa kutekelezwa ipasavyo na kwa wakati.

Akifafanua juu ya fedha za makusanyo ya mapato ya ndani alisema fedha hizo ni za serikali kuu hazina tofauti na fedha za Ruzuku,na kuitaka halmashauri kutenga asilimia 40 ya mapato ya ndani kila mwezi kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maendeleo.

" Kwenye hiyo asilimia 40 ndani yake Kuna asilimia 10 ya makundi maalum ambayo ni Wanawake,Vijana na Watu wenye ulemavu,Na fedha hizi zisipotolewa kwa makundi hayo tutahitaji maelezo" alisema Dkt Kiamia.

Katika hatua nyingine alisema utaratibu wa kubadili matumizi ya fedha Kama ilivyoelekezwa ni lazima kuandika barua kuomba kubadili matumizi bila ridhaa ni kosa na ulinganishwa na ubadhirifu wa fedha za Umma,hivyo aliwataka idara ya Mipango kusimamia vyema miradi ya maendeleo katika ngazi zote.

Hata hivyo alitoa agizo kwa wakusanyaji wa ushuru wanaodaiwa na halmashauri hiyo kuhakikisha wanarejesha fedha hizo haraka siku ya leo na kuwachukulia hatua wakusanya mapato wote wanaodaiwa fedha hizo.

" Nitawachukulia hatua,hapa Nimeona wanaodaiwa ni watu 27 nilishatoa maelekezo awali naona hayajatekelezwa , viongozi wakuu wa serikali akiwemo Waziri Mkuu anakemea ubadhirifu huu wa fedha za Umma ambao pia ni agizo la Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu" alisema Dkt Kiamia.

Hata hivyo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Stephen Ulaya alisema kuna baadhi ya wakusanya ushuru wadaiwa na wanaendelea kuzifuatilia kwa ukaribu sana ili ziweze kurejeshwa.

Naye  Mwanasheria wa Halmashauri Erick Justine alisema " Mh RAS tumechukua hatua na tunaendelea kuhakikisha fedha zinarejeshwa pia tumepokea ushauri wako wa kufanya kazi kwa taratibu na kuafuata miongozo ya serikali" alisema Justine

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM