• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Serikali yawahakikishia wafanyakazi ubora wa mafao.

Posted on: May 1st, 2018

Serikali wilayani Longido imewahakikishia wafanyakazi kuwa serikali sikivu ya awamu ya tano itahakikisha uunganishwaji wa mifuko ya hifadhi ya jamii unalenga kuboresha  mafao ya wafanyakazi na si vingenevyo.


Ahadi hiyo ya serikali imetolewa leo na Mkuu wa Wilaya  ya longido Daniel G.Chongolo alipokuwa akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) iliyofanyika kiwilaya mjini Longido.


Chongolo ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo amesema serikali chini ya uongozi imara wa Rais John Pombe Magufuli  ilifanya uamuzi wa kutunga sheria ya uunganishaji wa mifuko hiyo ya hifadhi za jamii kwa lengo la kuongeza tija ya mafao kwa watumishi na kuepusha urasimu usiokuwa na tija.


Aidha akijibu hoja zilizotolewa na wafanyakazi kupitia risala yao, Mkuu huyo wa wilaya ya Longido amesisitiza kuwa serikali inatambua changamoto nyingi zinazowakumba wafanyakazi wake, zikiwemo za kupandishwa vyeo, madai ya malimbikizo ya madeni, uhaba wa nyumba za watumishi pamoja na changamoto za mazingira magumu ya kazi na kuwahakikishia kuwa serikali inazifanyia kazi changamoto zote ili kuwafanya watumishi wabakize wajibu wa kutenda kazi pekee.


Changamoto ambazo zimeanza kutatuliwa ni pamoja na kulipwa kwa madeni ya watumishi zoezi lililoanza mwezi Machi 2018, ujenzi wa nyumba za wafanyakazi katika maeneo ya pembezoni, pamoja na uboreshaji wa mazingira ya kazi kwa ujumla.


Kwa upande wake Kamanda wa TAKUKURU wilaya ya Longido Mikidadi Ally amewakumbusha waajiri  wa serikali na sekta binafsi kuwa kisheria chini ya kifungu cha 31 cha matumizi mabaya ya madaraka ni kosa la jinai kutokupeleka michango ya wafanyakazi kwenye mifuko ya jamii.


Maandimisho ya Mei Mosi mwaka huu yamebeba kauli mbiu isemayo "Uunganishwaji wa mifuko ya hifadhi ya jamii ulenge kuboresha mafao ya wafanyakazi".

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.