• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Tume ya Taifa ya Uchaguzi yatangaza Uchaguzi mdogo wa Udiwani katika Kata za Kamwanga, Elang'atadapash na Olmolog

Posted on: July 11th, 2018

Tume ya Taifa ya Uchaguzi chini ya Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa Kifungu cha 13(3) imetoa taarifa ya kufanyika kwa Uchaguzi Mdogo wa Udiwani tarehe 12 Agosti 2018 kwenye Kata ya Kamwanga, Elang’atadapash na Olmolog. Nafasi wazi zilitokana na Madiwani wa Kata hizo Ndg Jacob Silas Mollel (Elang’atadapash – CHADEMA), Ndg Elias Mepukori Mbao (Kamwanga – CHADEMA) na Ndg Diyoo Lomayani Laizer (Olmolog – CHADEMA) kujiuzulu nafasi zao Januari Mwaka huu.

Kwa mujibu wa Ratiba iliyotolewa na Tume, zoezi la kutoa Fomu za Uteuzi litafanyika kati ya tarehe 08 hadi 14/07/2018, Uteuzi wa Wagombea ni tarehe 14/07/2018, kampeni za Uchaguzi ni tarehe 15 Julai hadi 11 Agosti na Upigaji Kura utafanyika tarehe 12/08/2018

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Longido Ndg Jumaa Mhina amewahakikishia Wananchi wa Kata hizo kuwa Uchaguzi utakuwa wa amani, huru na haki na akatoa rai kwa Wananchi kujitokeza kwa wingi kutimiza wajibu wao wa kidemokrasia kwa kuwachagua Viongozi wanaowataka ili kuwawakilisha kwenye Baraza la Madiwani. Aidha alisema Ofisi yake itatoa ushirikiano unaohitajika ili kufanikisha zoezi hilo na akawataka wasisite kuwasiliana na Afisa Uchaguzi na Utawala Bora wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido Ndg Constantine Mnemele kupitia namba 0786 784 265.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM