• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA RASMI KAZINI WAAPISHWA LEO

Posted on: December 2nd, 2024

Na Happiness  Nselu 

Longido, Arusha - Viongozi wapya wa serikali za mitaa katika Wilaya ya Longido wameapishwa rasmi leo katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido. Hafla hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, watendaji wa halmashauri, na wananchi waliokuja kushuhudia tukio hilo muhimu.

Hakimu mfawidhi wa Wilaya ya Longido  Mh.Eliarusia R.Nassary aliwaongoza viongozi hao katika kiapo cha uadilifu na uwajibikaji. Akizungumza baada ya kuwaapisha,Bw. Joseph Logolie aliwahimiza viongozi hao kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa weledi, uwazi, na kushirikiana na wananchi katika kusukuma mbele maendeleo ya jamii zao.


“Uongozi ni dhamana, na jukumu lenu kubwa ni kuhakikisha mnatoa huduma bora kwa wananchi wenu. Msikilize matatizo yao, tafuteni suluhisho kwa kushirikiana, na hakikisheni mnazingatia sheria na kanuni za utumishi wa umma,” alisisitiza Bw Logolie.


Viongozi walioapishwa ni pamoja na wenyeviti wa vijiji, wenyeviti wa vitongoji, na wajumbe wa halmashauri kundi la wanawake pamoja na wajumbe kundi mchanganyiko mbalimbali  Pia walikabidhiwa nyaraka muhimu zinazowaongoza kutekeleza majukumu yao, ikiwa ni pamoja na mwongozo wa usimamizi wa miradi ya maendeleo na utawala bora.


Akizungumza kwa niaba ya viongozi wenzake, Mwenyekiti mpya wa Kijiji cha Orkojoolengush Bw.Lekshon Kaika Mollel  aliahidi kuwajibika kwa moyo wa dhati na kuhakikisha wanashirikiana na wananchi kuboresha maisha ya jamii.


Kufuatia kuapishwa kwao, viongozi hawa wanatarajiwa kuanza mara moja kusimamia shughuli za maendeleo katika maeneo yao, kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya kuhakikisha Longido inaendelea kupiga hatua katika nyanja za kijamii na kiuchumi.


“Kwa pamoja tutaweza, na Longido itaendelea kuwa mfano wa kuigwa katika uongozi na maendeleo,” alihitimisha Bw. Joseph



Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.