• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WADAU WA MAENDELEO WAKAA KIKAO CHA KUJADILI UWEZESHAJI WA KUPATIKANA MAENDELEO YA KASI (W)LONGIDO

Posted on: September 29th, 2017

Na Johnson Ismail

Approved By Joseph  Peter Mkumbwa. ICTO

          Kikao cha kujadili fursa mbalimbali za kuinua na kutumia raslimali zilizopo kwa maendeleo ya wananchi wa Wilaya ya Longido kutoka kwa wadau hao,kikao hicho kimefanyika mapema hii leo katika ukumbi wa Mwalim J.K.Nyerere.

          Kikao hicho kilicho endeshwa na Mkurugenzi Mtendaji Wakili Jumaa Mhina kujadili na kuweka mikakati ya kukabiliana na changamoto zinazo wakabili wananchi wa Wilaya ya Longido yenye Tarafa 4, Kata18, Vijiji49 na Vitongoji 176 Inayo kadiriwa kuwa na Wakazi142,597ya(sensa2017).

          Mkurugenzi Mtendaji Wakili Jumaa Mhina alizungumzia frusa za uwekezaji zilizopo katika Wilaya kuwa ni Eneo lakupaki magari makubwa nje ya mji wa Namanga lenye huduma za chakula na malazi,Viwanda vya kusindika nyama&machinjio yakisasa, Viwanda vya kusindika maziwa na bidha zake,Agriculture produce border market,Petrol stations,Garage kwa ajili ya service za magari.

        Pia Mkurugenzi Wakili Mhina alitoa frusa katika utoaji wa huduma za jamii ambazo ni ujenzi wa hospitali ya wilaya,Ujenzi wa miundo mbinu ya elimu ya sekondari  Madarasa 20 kwa shule 10,nyumba 2 za Waalimu(6 in1),Mabweni 10 kati ya shule5 za sekondari.

         Mkurugenzi Wakili Mhina alielezea changamoto mbalimbali za sekita ya Mifugo,Maendeleo ya jamii,Afya,Kilimo,Maji,Misitu,Biashara,Wanyama pori,Utawala bora,Ushirika na katika idara ya Elimu ya msingi.

         Kikao kilihudhuriwa na wadau mbalimbali wa ndani na nje ya Wilaya,Wadau walio shiriki ni  Maasai primary,Driling water,Trians Tanzania,Muhesi Safari,Sido,L.D.P,UCRT-maisha bora,Heifer international,Madihani,ShirikaLOOCIP,Ujenzi,Chakula cha mifugo,PCI,Childreach(Tz),Pastoral womens council,Kilombero north safaris,Maisha bora,Afya,Anapa,Convois of AOPE,Fees.

          Wadau hao walitoa mapendekezo yakuunda umoja wa wahisani wote wa ndani na nje ya Wilaya pia kutafuta watu wote walio soma katika wilaya ya Longido na kuwa kitu kimoja, kutumia rasili mali zinazo zunguka wilaya kuzibadili kuwa fedha,mawasiliano kuunda groap moja ili kujadili mambo ya maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.