• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAFANYABIASHA NDIO WANAOJENGA UCHUMI, DC LONGIDO

Posted on: June 21st, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Longido chini ya Mkurugenzi Mtendaji  Ndg. Jumaa Mhina pamoja na Wilaya kwa ujumla chini ya Mhe. Frank James Mwaisumbe imejidhatiti kuzidi kujiweka karibu na Wafanyabiashara wote wa wilaya hiyo huku ikionesha kuwajali na kuwathamini kama ilivyo kwa muhudumu na glas.

Mkuu wa Wilaya Longido Mhe. Frank James Mwaisumbe amefanya kikao na wafanyabiashara wote wa wilaya hiyo wakuu wa Idara mbalimbali zinazohusika na biashara ndani ya Longido huku akiwataka wakuu wa Idara kuhakikisha wanawaheshimu wafanyabiashara kwani wao ndio wanaojenga uchumi wa Taifa.

Aidha amesema kuwa wafanyabiashara wote wanatakiwa kukaa na watu wa mapato , Halmashauri pamoja na sekta nyingine zinazohusika katika shughuli za kibiashara ili kuondoa tofauti zote zinazojitokeza na migogoro isiyo ya lazima.

Awali akijibu hoja za wafanya biashara hao ambazo zililenga kuilalamikia Halmashauri kwa kuonesha kutowajali Wafanyabiashara wake Mhe. Mwaisumbe amewatoa hofu na kuwahaidi atahakikisha anamaliza matatizo yote huku akisisitiza kuwa ndilo lilikuwa kusudi la kuwakutanisha ili kuondoa utofauti.

Vilevile ameendelea kusema kuwa ili shughuli zao ziweze kwenda kama wanavyopanga ni sharti wakanunue paspoti za kusafilia kwa wale wanaokwenda nje ya nchi mara kwa mara ambazo zinadumu kwa muda wa mwaka mzima, pia akasema kuwa paspoti hiyo inakuwa na taarifa zako zote muhimu ambazo hata ukitokewa na tatizo huko nje ya nchi utapata huduma kwa haraka zaidi kuliko wale wenye paspoti za masaa.

Kwa upande wake Ndg. Jumaa Mhina Mkurugenzi Mtendaji amewataka wafanyabiashara waendelee kulipa kodi kadri ya wanavyoelekezwa ili Serikali ipate nguvu ya kuendela kutekeleza Miradi mbalimbali ya kimaendeleo kwa faida ya Wanalongido na Watanzania kwa ujumla.

Hata hivyo Mkurugenzi amewataka wakuu wa Idara husika za Halmashauri kutokukaa Ofisini badala yake kutembela maeneo yote yenye changamoto ma matatizo mbalimbali na kuzitatua na ikishindikana waziwasilishe kunakohusika ili zitatuliwe mara moja.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.