• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Makandarasi Wasaini Mikataba ya Zabuni Tano za Barabara Longido

Posted on: May 2nd, 2017

Mkurugenzi Mtendaji Wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido amesaini na Makandarasi Zabuni Tano za Ujenzi wa Barabara za Halmashauri, Katika hafla hiyo iliyohudhuriwa na Wakuu wa Idara zote (CMT) jumla ya zabuni tano zilisainiwa ambazo zina thamani ya zaidi ya shilingi Milioni Mia Tano Themanini na Saba. Zabuni hizo zitahusisha Matengenezo ya kawaida (Routine Maintenance ), Matengenezo ya sehemu Korofi  (Spot Maintanence) na Matengenezo ya Gabion.

Katika Zabuni hizo Mkandarasi M/S Central Highway Contractors Ltd amesaini Lot 1 Zabuni ya Matengenezo ya Kawaida kwa Barabara ya Ketumbeine Junction-Gelai Lumbwa na Longido-Lesing'ita-Mairowa, matengenezo ya sehemu Korofi kwa Barabara za Lesing'ita-Mundarara na Matengezo ya Gabion kuzuia mmonyoko wa Udongo Eneo la Daraja la Mundarara.Thamani ya Mkataba ni shilingi 137,655,260/=

Pia Mkandarasi  M/S Laizer Works Ltd amesaini Lot 2 Zabuni  ya Ujenzi wa sehemu Korofi katika Barabara ya Mairowa-Sinonik na Matengezo ya Kalvati barabara ya Mairowa-Sininik. Thamani ya Mkataba ni shilingi 110,856,280/=

Wakati huo huo Mkandarasi  M/S Milkha Singh Jawala Singh amesaini Zabuni ya Mradi wa Matengenezo ya Muda Maalum katika Barbara ya Sinya-Elerai 5km Mkataba huo una thamani ya Shilingi 87,917,080/=.Katika lot Na 4

Kwa Upande wa  Mkandarasi M/S Ngulelo Supplies Service LTD amesaini Zabuni ya Mradi wa Matengenezo ya Muda Maalum katika Barbara ya Mairowa-Matale "A"- Emurtoto na ujenzi wa Kivuko (Solid Drift) barabara ya Matale"A"-Emurtoto. Mkataba huo una thamani ya Shilingi 160,927,338/= Katika Lot Na 3

Lakini pia Mkandarasi M/S Meero Contractors LTD naye ametia sahihi yake katika Zabuni ya mradi wa Ujenzi wa Mtaro wa Maji na Matengenezo sehemu Korofi barabara ya Longido Mjini. Mkataba huu una thamani ya shilinngi 90,160,083/- katika Lot namba 5

Katika tukio hilo la kipekee Mkurugenzi Mtendaji Wakili Jumaa Mhina amesisitiza kuwa ni vyema Makandarasi wakazingatia ubora na Muda wa Mikataba ili Matengenezo hayo yakamilike kwa wakati uliopangwa ili barabara hizo ziweze kutumika katika shughuli za wanachi za kuleta maendeleo katika Misimu yote ya Mwaka.

Imetolewa na Eng. H. Mshana

Imerushwa na Loth Zacharia & Joseph P Mkumbwa ICTOs

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.