• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

Posted on: March 21st, 2025

Na Happiness Nselu


*Longido, Machi 21, 2025* - Wataalamu kutoka Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe, wakiongozwa na Mratibu wa Elimu ngazi ya Jamii, Bw. Wasele, leo wamefanya ziara katika shule ya Sekondari Ketumbeine na Engarenaibor, kutoa elimu muhimu kuhusu ugonjwa wa mpox na magonjwa mengine yanayoathiri jamii.


Akizungumza kwa njia ya simu, Mganga Mkuu wa Wilaya ya Longido, Dkt. Dioniz Methew Majani, alisema kuwa idara yake imejipanga kikamilifu kukabiliana na ugonjwa wa mpox. Alisema kuwa kupitia utoaji wa elimu na mikutano ya jamii, wameweza kuhamasisha wananchi kuhusu hatua za tahadhari na jinsi ya kujikinga dhidi ya maambukizi.


“Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Huduma za Lishe imejizatiti kutoa taarifa sahihi kwa wananchi ili kupunguza maambukizi ya ugonjwa huu. Tunasisitiza umakini na ushirikiano kutoka kwa kila mmoja wetu katika kudhibiti mambukizi. Huduma za afya zipo, na tunahakikisha kwamba jamii inapata elimu ya kutosha kuhusu magonjwa haya,” alisema Dkt. Majani.


Bw. Wasele aliongeza kuwa, mbali na elimu kuhusu mpox, wamejizatiti pia kutoa huduma za lishe kwa wananchi. Lishe bora, alisema, ni muhimu katika kujenga kinga ya mwili dhidi ya magonjwa. Aidha, alisisitiza kuwa elimu hii ni sehemu ya juhudi kubwa za serikali kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya na lishe. Alisema kuwa, "Kwa kushirikiana, tunaweza kupunguza madhara ya magonjwa haya na kuhakikisha afya ya jamii inaboreshwa."


Ziara hii inatolewa kama sehemu ya mkakati wa serikali kuongeza ufahamu kuhusu magonjwa yanayoathiri jamii na kupunguza madhara yake kwa kupitia elimu, ushirikiano na huduma za afya bora. Idara ya Afya pia inaendelea kufanya kazi kwa karibu na viongozi wa mitaa, mashirika yasiyo ya kiserikali, na jamii kwa ujumla, ili kuhakikisha taarifa sahihi zinawafikia wananchi wote.


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM