• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATENDAJI WA KATA WASAINI MIKATABA YA LISHE.

Posted on: November 18th, 2022

Watendaji 18 wa Kata za Halmashauri ya, Wilaya ya Longido Leo tarehe 18/11/2022 wasaini mkataba wa Lishe ikiwa ni juhudi za  Serikali  ya awamu ya sita  inayoongozwa na  Mhe.Rais Samia Suluhu  Hassan za kupinga na kuzuia utapiamlo  kwenye jamii ikizingatiwa  lishe ni msingi wa afya ya  binadamu,  Maendeleo  ya jamii na uchumi wa nchi kwa ujumla.

Akifungua kikao hicho cha utiaji Saini wa Mikataba ya Lishe

Mwenyekiti wa kikao hicho ambaye ni  Afisa Tawala Wilaya ya Longido Ndugu Boniface Lugola Ameiasa jamii kuzingatia lishe bora kwa watoto ili kuimarisha afya ya mtoto mmoja mmoja ili kuondokana na magonjwa kwa watoto hususani utapiamlo ambao umekuwa tishio kwa watoto wengi

Pia amewataka Watendaji wa kata  kuifanya agenda ya Lishe iwe ya kudumu kwenye Mikutano yao Kwa kushirikiana na wataalamu wa Lishe kwa kutoa Elimu juu ya Lishe bora kwa jamii

  Nae mkuu wa idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na lishe Dr Selemani Mtenjela ameiomba jamii hasa wakina mama kuzingatia unyonyeshaji wa mtoto kwa muda wa miezi sita kwani ndio msingi mkubwa wa lishe na Afya ya mtoto sambamba na hilo ameomba pia mtoto apewe chakula bora chenye vitamin zote ili kumsaidia katika ukuaji wake ili kuondokana na Maradhi yanayohusiana na ukosefu wa chakula bora.

 Serikali imejitahidi sana katika kutoa misaada mbali mbali kwa jamii hususani chakula ili kusaidia kuondokana na baa la njaa kwa jamii ivyo kuwataka wajumbe kuhamasisha jamii kuzingatia mlo ulio kamili alisema ndugu Edward Mboya kwa niaba ya Mkurugenzi wa Wilaya ya Longido.

Zoezi hilo la utiaji saini mikataba ya lishe  limefanyika katika ukumbi wa Halmashauri na  kushuhudiwa na wakuu wa Idara na Vitengo na Kamati ya uendeshaji huduma za afya ngazi ya Wilaya.


#Kazi iiendelee#

https://www.instagram.com/p/ClIy-zJNF0a/?igshid=MDJmNzVkMjY=

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM