• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATENDAJI WA KATA WASAINI MIKATABA YA LISHE.

Posted on: November 18th, 2022

Watendaji 18 wa Kata za Halmashauri ya, Wilaya ya Longido Leo tarehe 18/11/2022 wasaini mkataba wa Lishe ikiwa ni juhudi za  Serikali  ya awamu ya sita  inayoongozwa na  Mhe.Rais Samia Suluhu  Hassan za kupinga na kuzuia utapiamlo  kwenye jamii ikizingatiwa  lishe ni msingi wa afya ya  binadamu,  Maendeleo  ya jamii na uchumi wa nchi kwa ujumla.

Akifungua kikao hicho cha utiaji Saini wa Mikataba ya Lishe

Mwenyekiti wa kikao hicho ambaye ni  Afisa Tawala Wilaya ya Longido Ndugu Boniface Lugola Ameiasa jamii kuzingatia lishe bora kwa watoto ili kuimarisha afya ya mtoto mmoja mmoja ili kuondokana na magonjwa kwa watoto hususani utapiamlo ambao umekuwa tishio kwa watoto wengi

Pia amewataka Watendaji wa kata  kuifanya agenda ya Lishe iwe ya kudumu kwenye Mikutano yao Kwa kushirikiana na wataalamu wa Lishe kwa kutoa Elimu juu ya Lishe bora kwa jamii

  Nae mkuu wa idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na lishe Dr Selemani Mtenjela ameiomba jamii hasa wakina mama kuzingatia unyonyeshaji wa mtoto kwa muda wa miezi sita kwani ndio msingi mkubwa wa lishe na Afya ya mtoto sambamba na hilo ameomba pia mtoto apewe chakula bora chenye vitamin zote ili kumsaidia katika ukuaji wake ili kuondokana na Maradhi yanayohusiana na ukosefu wa chakula bora.

 Serikali imejitahidi sana katika kutoa misaada mbali mbali kwa jamii hususani chakula ili kusaidia kuondokana na baa la njaa kwa jamii ivyo kuwataka wajumbe kuhamasisha jamii kuzingatia mlo ulio kamili alisema ndugu Edward Mboya kwa niaba ya Mkurugenzi wa Wilaya ya Longido.

Zoezi hilo la utiaji saini mikataba ya lishe  limefanyika katika ukumbi wa Halmashauri na  kushuhudiwa na wakuu wa Idara na Vitengo na Kamati ya uendeshaji huduma za afya ngazi ya Wilaya.

#Kazi iiendelee#

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.