• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATEULE WA VYAMA 4 VYA SIASA WATANGAZWA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LONGIDO. .

Posted on: August 25th, 2020


Posted On: August 25th, 2020

  Msimamizi wa Uchaguzi, Jimbo la Longido, Dr. Jumaa Mhina, ametangaza majina ya Uteuzi wa Ubunge wa Jimbo la Longido, uteuzi huo umefanyika kwa mujibu wa ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi. 

   Msimamizi wa Uchaguzi  wa jimbo hilo amefafanua kuwa, jumla ya Wateule wa Ubunge 6 kutoka vyama 6 vya siasa, walichukua fomu za Uteuzi katika Jimbo hilo na baadhi yao, kuzirejesha fomu hizo kwa wakati kwa mujibu wa kanuni na taratibu zilizotolewa naTume ya Taifa ya Uchaguzi.

 Akifafanua zaidi Dr. Jumaa amesema, wateule 4 kati ya wateule 6 ndio waliorejesha fomu za uteuzi na mteule mmoja  alirejesha kwa kuchelewa hivyo tume kushindwa kupokea fomu zake. na mgombea mmoja hajarejesha fomu.

     Aidha amewataja Wagombea walioteuliwa ni pamoja na Feruziy Juma Feruziyson wa Chama cha (NRA) , Dr. Kiruswa Steven Lemomo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ,Mkadam Kombo Mkadam wa Chama (CUF) , Paulina Lukas Laizer wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo -(CHADEMA)

Mteule wa chama cha ACT-WAZALENDO alirejesha fomu bila ya kuzingatia muda na kusababisha tume kus hindwa kuipokea  fomu  hiyo.

    Mteule ambae alichukua fomu za Uteuzi wa Ubunge na hakuzirudisha  kwa Msimamizi wa Uchaguzi ni Mteule wa Chama cha Jamii - CCK. 

     Msimamizi wa Uchaguzi, Dkt Jumaa Mhina ametangaza ratiba ya Kampeni za Uchaguzi kuanza rasmi kesho tarehe 26 Agosti 2020 na kuwataka wagombea wote walioteuliwa, kufanya kampeni za kistaarabu na kuepuka lugha za kejeli na matusi huku akiwasisitiza  wananchi kwenda kwenye mikutano ya kampeni na kusikiliza sera za wagombea na kuchagua viongozi bora siku ya Uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani ifikapo ya tarehe 28 Oktoba 2020.
























Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.