• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

DC MWAISUMBE AWATIA MBARONI WATOROSHAJI WA MADINI LONGIDO

Posted on: June 26th, 2019

Mkuu wa wilaya ya Longido Mh. Frank James Mwaisumbe wakishirikiana na jeshi la polisi la mpakani leo tarehe 26/06/2019  wamefanikiwa kuwatia mbaroni vijana wawili wa wakitanzania wakijaribu kutorosha madini ya aina mbalimbali yenye  jumla ya kilogram 36.5 za madini, madini hayo ikiwemo kilo 24.2 za tanzanite kilo 3 za ruby kilo 3 za green granite na kilo 5.9 za aina nyingine za madini ambayo haikujulikana kuwa ni aina gani.

Akizungumza katika tukio hilo Mh mkuu wa wilaya alisema jeshi la polisi walipo kuwa wakifanya ukaguzi wa kawaida wa magari ya mizigo ndipo walipopata shaka na gari lililokuwa limebeba mchele na kuamua kufanya upekuzi wa kina kwa kutumia mbwa wa jeshi la polisi  na kufanikiwa kukamata mfuko wenye madini hayo  uliopangwa sawa na mifuko ya mchele ambayo bado dhamani yake haijulikani .

Vijana hao walisema wameagizwa kupeleka madini hayo kwa mtu ambaye atatumiwa namba yake ya simu watakapofikisha mzigo ili awapokee Mpakani mwa Tanzania na Kenya mpaka wa Namanga

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ameamuru mzigo huo upelekwa ofisi ya madini ili kubaini dhamani yake.

Hata hivyo Mkuu wa Wilaya amewatahadharisha wafanya biashara wanaohujumu uchumi na kuwaambia Longido sio uchochoro wa kupitisha mali za nchi yetu na kukwepeshe serikali mapato halali sisi na jeshi letu tumejipanga kuhakikisha kuwa hakuna chochote kitakacho pita hapa bila kulipa kodi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO September 04, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • VIONGOZI WA DINI WILAYA YA LONGIDO WATOA TAMKO JUU YA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI

    October 23, 2025
  • WANAFUNZI 5,188 KUFANYA UPIMAJI WA KITAIFA DARASA LA NNE LONGIDO

    October 21, 2025
  • WWF YADHAMIRIA KUREJESHA MAZINGIRA ASILIA YA LONGIDO

    October 20, 2025
  • MATUKIO KATIKA PICHA SIKU YA PILI YA MAFUNZO YA WWF KWA VIONGOZI WA DINI, VIJIJI NA VIONGOZI WA KIMILA KUHUSU UHIFADHI WA MAZINGIRA LONGIDO

    October 16, 2025
  • View All

Video

KAMATI YA AMANI NA HAKI WILAYANI LONGIDO YATOA TAMKO LA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.