• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu,Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mijinii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Usafishaji na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Maliasili na Utalii
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Rasilimali Asili na Hifadhi ya Mazingira
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Maliasili na uhifadhi wa mazingira
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Leseni
    • Mapato
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti UKIMWI
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA LONGIDO KUSOMESHWA CHUONI NA CCM.

Posted on: February 15th, 2019

Katibu wa itikadi na uenezi wa chama Tawala CCM Ndugu Hamphrey Polepole,amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi ,katika halmashauri ya wilaya ya Longido.Katika ziara hiyo ndugu Polepole ametembelea kisima cha mradi mkubwa wa maji wenye uwezo wa kubeba zaidi ya lita laki nne za maji.Mradi huo unatarajiwa kukamilika ndani ya wiki mbili. hivyo Mh Polepole amemtaka Mkuu wa wiliya pamoja na wa viongozi wa chama kuutembelea mradi huo baada ya wiki mbili ilikuweza kuwaondolea wananchi tatizo hilo kubwa linaloendelea kuwakabili.

Pia mh Polepole ameweza kutembelea shule ya sekondari Longido na kujionea mradi wa ujenzi wa madarasa mawili yanayojengwa kwa nguvu ya michango ya wananchi wa wilaya ambapo amefurahisha na juhudi hizo na kumwomba mkandarasi ajitahidi kuukamilisha ndani ya wakati hili kuweza kuwaondolea wa wanafunzi hao shida hiyo.ujenzi huo unatarajiwa kukamilika mwanzo wa mwezi wa tatu.

Pia Mh polepole alipata fursa ya kuonana na mkuu wa shule hiyo ndugu Daniel Temu na kupewa taarifa fupi ya maendeleo ya wanafunzi ambapo alipendezwa na juhudi zinazofanywa na Walimu kuakisha wanafunzi wanafaulu. Aidha ametoa ahadi ya Mh: rais John Pombe Magufuli ambaye ni mwenyekiti wa chama cha mapinduzi kwamba kwa wanafunzi wote wa kidato cha sita watakaopata daraja la kwanza na la pili kwenye mtihani wao wakitaifa watasomeshwa chuo bure pamoja na gharama zote zikifanywa na chama kama motisha kwa wanafunzi kufanya vizuri.

Mh.Pole pole pia ametembelea daraja la korongo la wazee na kumtaka mkandarasi kukamilisha ujenzi kwa wakati, lakini pia ametembelea Ujenzi wa kituo cha afya Eworendeke na solo la kimkakati la mifugo la Eworendeke .

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA LONGIDO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    August 07, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WILAYANI LONGIDO WALA KIAPO CHA UADILIFU

    August 05, 2025
  • SHIRIKA LA MONDO TANZANIA LAKABIDHI MAGODORO 32 KWA WANANFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU SHULE YA MSINGI LONGIDO

    July 30, 2025
  • LONGIDO YANG'ARA KITAIFA YAPATA TUZO YA UFAULU KIDATO CHA PILI

    July 11, 2025
  • View All

Video

LONGIDO YASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE MAONESHO YA NANE NANE YANAYOFANYIKA VIWANJA VYA THEMI - NJIRO ARUSHA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.