• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Video

  • HALMASHAURI YA WILAYA LONGIDO YAWAPATIA WANAWAKE NA VIJANA MIKOPO YA MASHARITI NA

    November 22nd, 2017

    Mkurugenzi atimiza ilani ya ccm

  • Madiwani Wa Halmashauri ya Wilaya longido Wajionea jinsi Miradi ilivyo tekelezwa kikamilifu

    October 2nd, 2017

    Waheshimiwa wa Kata mbalimbali wa Kamati ya fedha walifanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali iliyo chini ya Halmashauri ili kujiridhisha.

          Waheshimiwa Madiwani hao walitembelea na kukagua miradi inayopatikana maeneo ya Namanga,Kimokouwa,Longido,Tingatinga na Mradi mkubwa wa maji Olmology.

          Miradi hiyo iliyokaguliwa ni Mradi mkubwa wa maji kutoka Mto Simba hadi Longido mjini,Kukamilika ujenzi wa Zahanati ya Kimokouwa ,Ujenzi wa miundombinu ya Mnada wa  MIVARF,Mradi wa ujenzi wa jingo la x-ray  Kituo cha Afya Longido,kutembelea mradi wa maji Tingatinga Ngereyani,na Ujenzi wa nyumba  ya walimu Six in one ,ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa choo cha matundu 8 na choo cha matundu 2 katika shule ya Sekondari Tingatinga.

           Aidha mradi uliokamilika ni Ujenzi wa Zahanati ya Kimokouwa ,ikiwa wa ujenzi wa Jengo la Zahanati,ujenzi wa choo,na uwekaji wa maji,na ujenzi wa Placenta Pit uliotumia jumla ya shilingi 59,131,854..Changamoto iliyopo ni Zahanati kukamilika lakini haina nyumba za Watumishi.

           Baadhi ya miradi ambayo ipo katika  hatua nzuri za ukamilishwaji ni Ujenzi wa programu ya MIVARF,ambapo ni ujenzi wa mazizi ya ng’ombe ,ujenzi wa vyoo  pamoja na jingo la utawala.Mradi huo unagharimu jumla ya shilingi 314,078,944.80 na mpaka sasa Halmashauri imechangia jumla ya shilingi 20,000,000.Mradi mwingine ambao upo kwenye mwendelezo ni Ujenzi wa jingo la x-ray room katika kituo cha Afya Longido.

  • Waziri Akitoa Majibu kuhusu Miradi ya Maji Longido

    June 22nd, 2017

    Majibu hayo yalitolewa Bungeni mjini Dodoma

  • 1
  • 2
  • 3
  • Next →

Matangazo

  • Angalia Matokeo kidato cha nne hapa. January 24, 2019
  • SHIRIKI MBIO ZA OLDONYOLENGAI FUN RUN. December 05, 2018
  • MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU September 14, 2018
  • Vitambulisho vya Uraia August 10, 2017
  • View All

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA LONGIDO KUSOMESHWA CHUONI NA CCM.

    February 15, 2019
  • UZINDUZI RASMI WA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA LONGIDO

    February 14, 2019
  • ZIARA YA MH.MKUU WA MKOA

    February 07, 2019
  • WAFUGAJI WAPATIWA DAWA YA KUOGESHA MIFUGO

    January 29, 2019
  • View All

Video

HALMASHAURI YA WILAYA LONGIDO YAWAPATIA WANAWAKE NA VIJANA MIKOPO YA MASHARITI NA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM