• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

Video

  • HALMASHAURI YA WILAYA LONGIDO YAWAPATIA WANAWAKE NA VIJANA MIKOPO YA MASHARITI NA

    November 22nd, 2017

    Mkurugenzi atimiza ilani ya ccm

  • Madiwani Wa Halmashauri ya Wilaya longido Wajionea jinsi Miradi ilivyo tekelezwa kikamilifu

    October 2nd, 2017

    Waheshimiwa wa Kata mbalimbali wa Kamati ya fedha walifanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali iliyo chini ya Halmashauri ili kujiridhisha.

          Waheshimiwa Madiwani hao walitembelea na kukagua miradi inayopatikana maeneo ya Namanga,Kimokouwa,Longido,Tingatinga na Mradi mkubwa wa maji Olmology.

          Miradi hiyo iliyokaguliwa ni Mradi mkubwa wa maji kutoka Mto Simba hadi Longido mjini,Kukamilika ujenzi wa Zahanati ya Kimokouwa ,Ujenzi wa miundombinu ya Mnada wa  MIVARF,Mradi wa ujenzi wa jingo la x-ray  Kituo cha Afya Longido,kutembelea mradi wa maji Tingatinga Ngereyani,na Ujenzi wa nyumba  ya walimu Six in one ,ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa choo cha matundu 8 na choo cha matundu 2 katika shule ya Sekondari Tingatinga.

           Aidha mradi uliokamilika ni Ujenzi wa Zahanati ya Kimokouwa ,ikiwa wa ujenzi wa Jengo la Zahanati,ujenzi wa choo,na uwekaji wa maji,na ujenzi wa Placenta Pit uliotumia jumla ya shilingi 59,131,854..Changamoto iliyopo ni Zahanati kukamilika lakini haina nyumba za Watumishi.

           Baadhi ya miradi ambayo ipo katika  hatua nzuri za ukamilishwaji ni Ujenzi wa programu ya MIVARF,ambapo ni ujenzi wa mazizi ya ng’ombe ,ujenzi wa vyoo  pamoja na jingo la utawala.Mradi huo unagharimu jumla ya shilingi 314,078,944.80 na mpaka sasa Halmashauri imechangia jumla ya shilingi 20,000,000.Mradi mwingine ambao upo kwenye mwendelezo ni Ujenzi wa jingo la x-ray room katika kituo cha Afya Longido.

  • Waziri Akitoa Majibu kuhusu Miradi ya Maji Longido

    June 22nd, 2017

    Majibu hayo yalitolewa Bungeni mjini Dodoma

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next →

Matangazo

  • MATAKOE YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA June 01, 2025
  • MATOKEO KIDATO CHA SITA 2024 July 13, 2024
  • MAELEKEZO KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • WAZIRI WA MIFUGO AZINDUA CHANJO YA MIFUGO ,AWATAKA WAFUGAJI KUFUGA KISASA

    July 02, 2025
  • LONGIDO YAAGA MADIWANI WAKE KWA HESHIMA, YASIFIA UONGOZI WAO WA HEKIMA NA BUSARA

    June 20, 2025
  • LONGIDO YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KWA MAFANIKIO MAKUBWA

    June 17, 2025
  • LONGIDO YATOA VIPAJI KUUNDA TIMU YA MKOA KWENYE MASHINDANO YA UMISSETA

    June 06, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

Kurasa za zinazoshabihiana

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.