• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mabadiko ya Hali ya Hewa Tabianchi

Start Date: 2017-02-01
End Date: 2021-07-01

MIRADI YA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA HALI YA HEWA NA TABIANCHI ILIYOPITISHWA KUTEKELEZWA KATIKA TARAFA ZA WILAYA YA LONGIDO.


1.TARAFA YA KETUMBEINE

i)Kutoa Maji chanzo cha Ilorienito kwenda Kijiji cha Losirwa. Kuweka DP moja na ujenzi wa cattle trough moja.

ii)Ujenzi wa Zahanati Magadini

iii)Upatikanaji wa maji Kijiji cha Alaililai

iv)Ujenzi wa majiko sanifu katika vijiji vyote vya Kata za Gelai Lumbwa, Ketumbeine na Noondoto

v)Ujenzi wa makinga maji, utoaji wa mbegu za muda mfupi, mbegu za mihogo, mtama mweupe Vijiji vya Merugoi, Loondolwo, Losirwa, Ilorienito, Naadare

vi)Upandaji wa Miti Kijiji cha Olchoronyokie



2.TARAFA YA ENDUIMET

i)Kijiji cha Leremeta -  Kuongeza Mtandao wa Maji na ujenzi wa cattle trough moja

ii)Kijiji cha Ngereyani – kuongeza Mtandao wa Maji kutoka Ngereyani kwenda kitongoji cha Ngobeni

iii)Ukarabati wa Josho la Kijiji cha Lerangwa

iv)Ujenzi wa kibanio Kijiji cha Irkaswa

v)Ujenzi wa kibanio Kijiji cha Olmolog

vi)Mradi wa Ujenzi wa Ghala Kijiji cha Oldonyo


3.TARAFA YA ENGARENAIBOR

i)Ujenzi wa ghala moja la kuhifadhia chakula Kata ya Engarenaibor

ii)Kuhifadhi vyanzo vya maji katika Kata za Engarenaibor, Mundarara na Matale

iii)Kuboresha maabara ya mifugo na kuweka vifaa Kata ya Engarenaibor

iv)Kuchimba Kisima kirefu (borehole) Matale “B”

v)Kuchimba Kisima kirefu Kijiji cha Orpurkel, Mundarara

vi)Kuboresha nyanda za malisho kwa kuondoa magugu vamizi na kusia mbegu za majani


4.TARAFA YA LONGIDO

i)Uendelezaji wa Bwawa la Kiserian kwa kujenga uzio, cattle trough, tanki, na Kituo kimoja cha Maji  

ii)Ujenzi wa Uzio, goat & sheep trough na Kituo kimoja cha maji Bwawa la Engikaret

iii)Kukarabati Josho la Eorendeke

iv)Ujenzi wa Tanki kwa ajili ya umwagiliaji Kijiji cha Kimokouwa

v)Ukarabati wa Visima virefu viwili Namanga.

vi)Kuvuta Maji kutoka kisima kipya hadi Lalamok Kijiji cha Orbomba

vii)Kuvuta maji kutoka kituo cha Orbomba kwenda kijiji cha Ranchi


5.MIRADI NGAZI YA WILAYA

i)Kuanzisha radio ya Jamii Wilaya Longido

ii)kuweka vipima mvua katika kila Kata

iii)Kuanzisha mashamba darasa ya malisho ya mifugo katika kila tarafa

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • DED LONGIDO AFUNGUA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA

    May 14, 2025
  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM