• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YAPEWA PONGEZI

Posted on: July 11th, 2019

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo amewataka Mkuu wa wilaya, Mkurugenzi, Madiwani pamoja na wakuu wa Idara Wilayani longido kuhakikisha wanaondoa Hoja zisizo za muhimu na za kutatulika kipindi cha mikutano ya Robo ili kupunguza idadi ya Hoja katika vikao vya mwisho.

Ameyasema hayo leo julai 11, 2019 wakati akizungumza katika baraza la Madiwani wa kata zote 18 za Longido pamoja na wakuu wa Idara mbalimbali wa Wilaya hiyo katika mkutano Maalum wa baraza la Madiwani uliofanyika katika ukumbi wa Nyerere wilayani hapo.

Mhe. Gambo amesema kuwa Wilaya ya Longido akijaribu kuilinganisha na Wilaya nyingine mbili alizo anza nazo Longido inaonekana kufanya Vizuri zaidi ila tu mapungufu madogo madogo ambayo yanaweza kuzuilika ndio yanayoikabili Longido lakini pia Longido amesema wameweza kuondoa tofauti zao na kufanya kazi kama ndugu jamba ambalo amelipa pongezi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri Longido Mhe. Sambore Molloimet amemshukuru Mhe. Gambo kwa kuwa natembelea Wilaya hiyo mara kwa mara huku akimsisitiza kutowakatia tama pale wanapokosea ili kuijenga Tanzania kwa pamoja.

Aidha amewasisitiza kuwa katika vipindi vya robo Wilaya waakikishe kuwasilisha baadhi ya hoja kwa jina la Hoja Maalum ili kuondoa wingi wa hoja hizo.

Naye mkurugenzi mtendaji Mhe. Jumaa Mhina amesema wao kama Halmashauri wajenge utamaduni wa kuwa wanakutana mara kwa mara na wakaguzi huku wakiangalia maara ambapo pana utata na kupatafutia ufumbuzi wa haraka.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM