• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Afya
      • Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafishaji na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
        • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Teknolojia ya habari, mawasiliano na uhusiano
      • Ukaguzi wa ndani
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu ,afya na Maji
      • Kamati ya kuthibiti Ukimwi
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili ya madiwani
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • miradi iliyokamilishwa
  • Machapisho
    • sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • mpango mkakakati
    • Riport mbalimbali
    • Form mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAMPUNI POWERCORNER YA KUZALISHA NA KUSAMBAZA UMEME WA JUA YATOA MSAADA YA VIFAA TIBA WILAYANI LONGIDO

Posted on: November 19th, 2020

Leo tarehe 19-11-2020 kampuni ya PowerCorner inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa umeme utokanao na nishati ya jua katika Kijiji cha Orkejuloongishu kata ya Ketumbeine wilayani Longido imekabidhi msaada wa vifaa tiba katika kituo cha afya Longido ikiwemo vitanda 20 na   magodoro 20, mito 40, meza 15, viti 20 na vifaa vya kunawia mikono 71 vyenye thamani ya milioni ishirini na tano laki nane na ishirini na tano (25,825,000/=).

Hafla hiyo iyohudhuriwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido Dkt Jumaa Mhina, Mganga mkuu wa wilaya Dkt Justice Munisi na watumishi wa idara ya afya kituoni hapo. Msaaada huo wa vifaa tiba uliozingatia upungufu katika kituoni hapo.

Kampuni ya PowerCorner kwa kuona umuhimu wa kuchangia vifaa tiba ili kuboresha utoaji wa huduma ya afya wilayani Longido imegawa vifaa hivyo pia katika Zahanati ya Ketumbeine ambazo ni vitanda 3 na magodoro 3, mito 6 na meza 3 na vifaa vya kunawia  3 vyenye gharama ya Tsh milioni moja na laki nane hamsini na moja (1,851,000/=). Vifaa hivyo vimetengenezwa na mafundi wazawa kutoka Kijiji cha Orkejuloongishu wakitumia pia vifaa umeme unaozalishwa na PowerCorner.

Mwisho mkurugenzi mtendaji Dkt Jumaa mhina aliwashukuru uongozi mzima wa kampuni ya PowerCorner kwa msaada wa vifaa tiba na kuwaahidi kuwapatia ushirikiano mkubwa wakati wowote na wasichoke kutoa msaada kwani wilaya yetu ni kubwa na vituo ni vingi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10% January 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 09, 2023
  • Uchaguzi wa kidato Cha tano 2023 June 11, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • MITUNGI 50 YATOLEWA KWA BABA NA MAMA LISHE WILAYANI LONGIDO

    April 17, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA WATOA ELIMU KUHUSU MPOX KATIKA SHULE YA SEKONDARI ENGARENAIBOR NA KETUMBEINE

    March 21, 2025
  • WWF NA BBC MEDIA ACTION WATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA JAMII JUU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    March 21, 2025
  • IDARA YA AFYA ,USTAWI WA JAMII NA LISHE YAADHIMISHA SIKU YA AFYA YA KINYWA NA MENO

    March 21, 2025
  • View All

Video

Ujenzi wa madarasa 4 na Ofisi ya walimu shule shikizi Lopoloseki,
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Ufugaji
  • Elimu msingi Primary Education

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved. Designed by Loth Zacharia & Joseph Peter Mkumbwa Sponsored by GWF TAMISEM