• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maulizo |
    • Barua pepe |
Longido District Council
Longido District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Longido

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu sekondari
      • Miundombinu, Mipango ya Maendeleo ya Vijijini na Mjjini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasimamli Watu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii
    • Kitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Huduma za Kisheria
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Utalii
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Leseni
    • Huduma za Utalii
    • Huduma za Mapato
    • Huduma zetu Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati ya Maadili ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Barua pepe za Idara na Vitengo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Kituo cha habari
      • Maktaba ya Picha
      • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
  • Vivutio
    • Mbuga
    • Ziwa

KIKAO CHA TATHIMINI CHA MKATABA WA LISHE NA WATENDAJI.

Posted on: July 31st, 2023

KIKAO CHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA VIASHIRIA VYA MKATABA WA LISHE KATIKA HALMASHAURI WILAYA YA LONGIDO

Mkuu wa wilaya ya Longido mheshimiwa Marco Henry Ng'umbi leo tarehe 31/07/2023 amefungua kikao cha tathmini ya Lishe kilichofanyika katika ukumbi wa J. k. Nyerere Wilayani Longido.

Akisoma taarifa ya Lishe Afisa lishe  wilaya ndugu Adelina Kahija, taarifa ya hali ya lishe katika Wilaya ilionesha kuwa 90.51%ya watoto chini ya miaka mitano wana hali nzuri ya lishe na 8.77%wana utapiamlo wa wastani, na 0.72%wana utapiamlo mkali.

Hata hivyo Halmashauri ya wilaya ya Longido ilitenga kiasi cha shilingi 41,187,976 kwa ajili ya utekelezaji wa Afua za lishe kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Mheshimiwa Ng'umbi amawataka watendaji wa kata katika Halmashauri kuweka jitihada mahususi za kuhamasisha na kutoa elimu ili kuondoa matatizo na magonjwa yanayosababishwa na ukosefu wa lishe bora haswa kwa watoto walio chini ya miaka mitano. "Lishe bora kwa mtoto huimarisha Afya na kumpa nguvu mtoto ili aweze kutimiza shughuli zake za kila siku, mtoto mwenye Afya nzuri mara zote anakuwa na furaha hata kwa kumuangalia tu anaonekana anapendeza"Alisema Mheshimwa Ng'umbi.

Kikao cha Tathmini ya Lishe kwa watendaji ni vikao endelevu vinavyofanyika kila robo katika mwaka, ili kujua mwenendo mzima wa lishe kwa watoto katika Halmashauri ikiwa na lengo la kuhakikisha watoto wote wanakuwa na Afya njema.


 *Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kazi iendelee*

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA June 13, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA UMMA April 12, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA May 15, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA June 25, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • KAMATI ZA MTAKUWWA ZAIMARISHWA KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA NAMANGA

    August 22, 2025
  • View All

Video

MKUU WA WILAYA YA LONGIDO AUNGANA NA RC KIHONGOSI KWENYE JOGGING YA TANZANIA SAMIA CONNECT
More Videos

Kurasa za Karibu

  • ESS-Watumishi Portal
  • Staff Email

Kurasa za zinazoshabihiana

  • Tovuti kuu ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa wa Arusha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Arusha- Namanga Road, Longido Town

    Postal Address: S.L.P 84 Longido Arusha

    Telephone: 027-2539603

    Mobile: 0756395889

    Email: ded@longidodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maulizo
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 Longido DC . All rights reserved.